McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Pale kati msisahau kumpanga Big Fella tafwazalini sana waungwana ni burudani kumuona yule mbuni akisakata kabumbu.
Mtakachofanya leo shauri yenu kama mtapasuana au kuuana kazi kwenu ila leo niko kwa mkopo timu ya wanainchi (Man City) namtakia heri mdogo wangu Yahya popote alipo na mimi nipo kwa leo hii.
Mtakachofanya leo shauri yenu kama mtapasuana au kuuana kazi kwenu ila leo niko kwa mkopo timu ya wanainchi (Man City) namtakia heri mdogo wangu Yahya popote alipo na mimi nipo kwa leo hii.