Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani hivi Van Gaal anaandika nini? Naona anamaliza peni sijui ya ngapi hii.
Anaandika mbinu kizungu "TACTICS"

kuna jamaa wanadai eti huwa anasolve Logarithm kuna watu wana utani mbaya sana

LGV In
 
i can see manure scoring another Three goals

FT itakuwa 4-1

but am dreaming the impossibles

man utd wanapita

#BELIEVE

CC😡 RRONDO
 
Man u nyie Ni come back King sasa uwanjani mnaondoka vp Kuna Fire mna Exit mashabiki mapema chenga twawala sio kesho tena bwahahahahaha.
 
Man u nyie Ni come back King sasa uwanjani mnaondoka vp Kuna Fire mna Exit mashabiki mapema chenga twawala sio kesho tena bwahahahahaha.
Mzee nashangaa jamaa wanakimbia uwanja wao hivi hivi

Kuna uwezekano kabisa wa Goli 3 hapa

Teh teh teh
 
d4b589186ae382a318e2127c58c214ff.jpg


Do not loose HOPES guys weekend hii tunamuua man city Etihad pale

GGGMU

#BELIEVE
 
Kusema ukweli leo Man U mmecheza soka!Leo mmeleta upinzani

Tatizo kubwa ni experimental squad mliyo nayo!Wachezaji wengi wa Man U hawana uzoefu wowote
 
Naona Van Gaal kamaliza kuandika kakunja daftari Lake anapiga makofi.
 
Duuuh wamerudisha!! Hapa tunachomoka kweli hapa!!!
Sijaona msaada wa smaling, carick, blind na namba saba (ambaye kiuhalisia ndiye msaidizi wa varela) walipoona beki namba mbili kazidiwa!!! Lilikua ni jukum lao kuangalia namna ya kumzuia cotinho baada ya kumtoka verela!!!

Varela inabidi apumzishwe kipindi cha pili!!!
Coutinho ni magician...
 
Man U Leo imecheza vizuri tatizo Lao lipo kwenye real winger zao za gombania goli hakuna siku hizi, wanahitaji wale winger WA kweli Martial akawa number 9. Fellaini nafikiri Na uhuni wake ndio best player Wao WA game mbili hizi.
 
Back
Top Bottom