JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,673
Tumeshindwa kupata hata goli mmoja la ugenini kitu ambacho kinafanya mechi ya OT kuwa ngumuLiverpool wamecheza vizuri sana. Lakini penati was debatable na goli la pili lilianzia kwenye move ambayo ni offside kabisa. Kifupi refa speed ya game ilimshinda. Hii mechi sio EL ya kawaida,ni zaidi ya hivyo inahitaji refa strong.
Mechi ijayo inatubidi tuzuie wasifunge goli hata mmoja huku tukiwa tunatafuta goli mbili mpaka tatu...ili kurudisha hope