Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kaka nimepitia blog nyingi za man u leo za wazawa kila ninapokwenda madrid ni kituko na kichekesho sisi tu ndio tunaona wamefanya la maana.

kitendo cha kumfukuza kocha aliowapa uefa (anceloti) na kumpa benitez tayari inaonesha ni jinsi gani madrid ilivyo joke club.

na kumtoa benitez na kumpa zidane mtu ambae hata experience hana pia ni bahati nasibu wanacheza.

hebu tuangalie timua timua ya madrid ina faida gani?

mabingwa la liga karibuni
-2008 ni barca
-2009 ni barca
-2010 ni barca
-2011 ni madrid
-2012 ni barca
-2013 ni atletico
-2014 ni barca

so miaka 7 iliopita wana ubingwa mmoja tu wa ligi. kwa ulinganishaji man united toka 2008 kabeba mara 4.

uefa hivi karibuni
kwa zaidi ya miaka 10 iliopita madrid kabeba mara 1 tu uefa na kafika fainali hio hio moja.

kwa ulinganishaji man u kafika finali 3 na kombe 1, barca finali 4 na kombe 4, bayern fainali 3 kombe 1.

hivyo madrid finali 1 compare na kina barca, bayern na man u ni kichekesho.

hivyo sioni cha kusifia hapo hao jamaa policy yao ni mbovu tu.


we jamaa ni mature enough kuelewa mambo....

Fans mambo yakienda kombo wana nyimbo MBILI kwanza

•FUKUZA KOCHA

•INGIA SOKONI

si kila mwenendo mbaya unatatuliwa na hivyo viwili hapo juu...wengi hawafahamu hili
 
kaka nimepitia blog nyingi za man u leo za wazawa kila ninapokwenda madrid ni kituko na kichekesho sisi tu ndio tunaona wamefanya la maana.

kitendo cha kumfukuza kocha aliowapa uefa (anceloti) na kumpa benitez tayari inaonesha ni jinsi gani madrid ilivyo joke club.

na kumtoa benitez na kumpa zidane mtu ambae hata experience hana pia ni bahati nasibu wanacheza.

hebu tuangalie timua timua ya madrid ina faida gani?

mabingwa la liga karibuni
-2008 ni barca
-2009 ni barca
-2010 ni barca
-2011 ni madrid
-2012 ni barca
-2013 ni atletico
-2014 ni barca

so miaka 7 iliopita wana ubingwa mmoja tu wa ligi. kwa ulinganishaji man united toka 2008 kabeba mara 4.

uefa hivi karibuni
kwa zaidi ya miaka 10 iliopita madrid kabeba mara 1 tu uefa na kafika fainali hio hio moja.

kwa ulinganishaji man u kafika finali 3 na kombe 1, barca finali 4 na kombe 4, bayern fainali 3 kombe 1.

hivyo madrid finali 1 compare na kina barca, bayern na man u ni kichekesho.

hivyo sioni cha kusifia hapo hao jamaa policy yao ni mbovu tu.
Mkuu sio kwamba tunasema walichokifanya Madrid ni sahihi ila angalia tofauti kati ya hizi club, benitez hakuwa na matokeo mabaya kiivo Madrid ila staili ya uchezaji wa Madrid ulibadilika, walikua wanaangalia zaidi matokeo kuliko entertainment.

Ukiangalia Madrid ndio iliyofunga magoli mengi kwa msimu huu (47), ipo point nne nyuma ya anaeongoza ligi, na point mbili nyuma ya mahasimu wao Barca, still wapo UCL sio matokeo mabayaa kiivo,

Msimu uliopita tunaweza kusema labda kweli van gaal alikua anaijenga timu, msimu huu tulianza vizuri tukaongoza hadi ligi na kuwa point nne juu ya anaeongoza sasa, tukaanza kutolewa C1C, tukaja uefa, tukaondolewa juu ya msimamo, tukaondolewa top four, mwezi mzima wa 12 hatujaonja ushindi, tumepata ushindi baada ya kuenda mechi nane bila ushindi, ( D4 L4) tupo nyuma kwa point Tisa kwa yule anaeongoza ligi, na point tatu kwa yule aliye top four na GD zaidi ya kumi, so kwa lolote lile hata tukishinda mechi ijayo na spurs akafungwa hatuwezi kuenda top four unless tumfunge Newcastle goli zaidi ya kumi,

Licha ya kwamba watu tunawacheka Madrid kwa maamuzi yao ya kukurupuka itabidi tukubali ukweli kwamba hata sisi pia tunachekwa kwa kutumia pesa nyiiingi lakin tuna compete na timu kama west ham, spurs na CPFC, badala ya kusonga mbele tunarudi nyuma,sidhani kama mafanikio aliyoyapata Carlo Madrid angekua utd kuna mtu angekua ana lalamika.

Ukweli mchungu we are now a laughing stoke, every one is laughing at us
 
Last edited:
REAL MADRID ni klabu bora ulimwenguni usiifananishe na za mchangani kama MAN U tafadhali

makombe 6 ya madrid ya uefa yametokana na dictator wa spain aliyekuwa anaitwa franco. kipindi hicho madrid wanaalika timu za kucheza uefa halafu wanazifunga then wanabeba kombe.

yani uefa ya zamani ni kama kombe la sasa hivi la arsenal linaloitwa emirates cup, arsenal anaalika watu anawapiga ananyanyua kikombe.

ili tusizungumzie enzi za mwalimu tuangalie miaka ya karibuni 20-30 iliopita, manchester united ni bora kila idara compare na madrid kuanzia makombe ya ligi hadi uefa.

timu pekee ambayo bila ubishi imeizidi man u kimafanikio ni barcelona. ila madrid? hapana
 
Mkuu sio kwamba tunasema walichokifanya Madrid ni sahihi ila angalia tofauti kati ya hizi club, benitez hakuwa na matokeo mabaya kiivo Madrid ila staili ya uchezaji wa Madrid ulibadilika, walikua wanaangalia zaidi matokeo kuliko entertainment.

Ukiangalia Madrid ndio iliyofunga magoli mengi kwa msimu huu (47), ipo point nne nyuma ya anaeongoza ligi, na point mbili nyuma ya mahasimu wao Barca, still wapo UCL sio matokeo mabayaa kiivo,

Msimu uliopita tunaweza kusema labda kweli van gaal alikua anaijenga timu, msimu huu tulianza vizuri tukaongoza hadi ligi na kuwa point nne juu ya anaeongoza sasa, tukaanza kutolewa C1C, tukaja uefa, tukaondolewa juu ya msimamo, tukaondolewa top four, mwezi mzima wa 12 hatujaonja ushindi, tumepata ushindi baada ya kuenda mechi nane bila ushindi, ( D4 L4) tupo nyuma kwa point Tisa kwa yule anaeongoza ligi, na point tatu kwa yule aliye top four na GD zaidi ya kumi, so kwa lolote lile hata tukishinda mechi ijayo na spurs akafungwa hatuwezi kuenda top four unless tumfunge Newcastle goli zaidi ya kumi,

Licha ya kwamba watu tunawacheka Madrid kwa maamuzi yao ya kukurupuka itabidi tukubali ukweli kwamba hata sisi pia tunachekwa kwa kutumia pesa nyiiingi lakin tuna compete na timu kama west ham, spurs na CPFC, badala ya kusonga mbele tunarudi nyuma,sidhani kama mafanikio aliyoyapata Carlo Madrid angekua utd kuna mtu angekua ana lalamika.

Ukweli mchungu we are now a laughing stoke, every body is laughing at us

hii issue ya man u kutumia hela hebu tuaiangalie kwa jicho la pili.

hela tumetumia kuziba mapengo na sio kuimprove timu, kwanini nasema hivi? hebu angalia hii list

beki yote ya man u hatunayo tena
-namba mbili rafaeli
-namba tatu evra
-beki kati fedinand
-beki kati vidic

pia kuna sub kama alexander butner pia kasepa.
waliosajiliwa ni kuziba mapengo tu na top target za kuimprove tumezikosa kama vile ramos.

midfield kabaki carrick
fletcher, cleverly, anderson, giggs, nani, scholes na niliowasahau hawapo tena na sisi

striker rooney
welbeck, rvp na chicha hawapo.

hivyo ukiangalia wachezaji kama 15 hawapo unafikiri tutazibaje mapengo? usajili wetu ni wa wachezaji wa kawaida tu morgan, blind, rojo, herrera, shaw, darmian etc wote hawa si wachezaji decisive wa kubadili matokeo. na kwa idadi tuliyotumia kusajili wachezaji 10 na zaidi ni ndogo top player siku hizi ni 50+

transfer target za lvg
lvg alitupromise striker ila hakuja na target zake zote hazikuja hivyo huwezi kumpa lawama yeye 100% inabidi nusu ya lawama woodward nayeye apate hawa ni baadhi
-strootman (lvg alimtaka sana)
-muller (japo mgumu kumpata hatujajaribu)
-robben (hana namba bayern sasa hivi)
-ramos (uwezekano wa kuja ulikuwepo)
-bale (kila siku rumors haziishi)
-etc

ukiangalia hao hapo juu wote ni watu wabadilisha matokeo ya mechi. lakini hatuna hata mmoja tumebaki kuwa na team players tu. ukimtoa martial waliobakiwa wote wanategemea perfomance ya timu kubadili matokeo.
 
hii issue ya man u kutumia hela hebu tuaiangalie kwa jicho la pili.

hela tumetumia kuziba mapengo na sio kuimprove timu, kwanini nasema hivi? hebu angalia hii list

beki yote ya man u hatunayo tena
-namba mbili rafaeli
-namba tatu evra
-beki kati fedinand
-beki kati vidic

pia kuna sub kama alexander butner pia kasepa.
waliosajiliwa ni kuziba mapengo tu na top target za kuimprove tumezikosa kama vile ramos.

midfield kabaki carrick
fletcher, cleverly, anderson, giggs, nani, scholes na niliowasahau hawapo tena na sisi

striker rooney
welbeck, rvp na chicha hawapo.

hivyo ukiangalia wachezaji kama 15 hawapo unafikiri tutazibaje mapengo? usajili wetu ni wa wachezaji wa kawaida tu morgan, blind, rojo, herrera, shaw, darmian etc wote hawa si wachezaji decisive wa kubadili matokeo. na kwa idadi tuliyotumia kusajili wachezaji 10 na zaidi ni ndogo top player siku hizi ni 50+

transfer target za lvg
lvg alitupromise striker ila hakuja na target zake zote hazikuja hivyo huwezi kumpa lawama yeye 100% inabidi nusu ya lawama woodward nayeye apate hawa ni baadhi
-strootman (lvg alimtaka sana)
-muller (japo mgumu kumpata hatujajaribu)
-robben (hana namba bayern sasa hivi)
-ramos (uwezekano wa kuja ulikuwepo)
-bale (kila siku rumors haziishi)
-etc

ukiangalia hao hapo juu wote ni watu wabadilisha matokeo ya mechi. lakini hatuna hata mmoja tumebaki kuwa na team players tu. ukimtoa martial waliobakiwa wote wanategemea perfomance ya timu kubadili matokeo.
Hii ndio tofauti, mashabiki wa livapuli wakiwa wanalia lia kwamba wanapata matokeo mabaya sababu wachezaji waliopo sio wa JK upande wetu tuna lalamika kwamba tunapata matokeo mabaya sababu wachezaji wengi wameondoka.

Wachezaji pekee waliondoka kwa sababu inayoeleweka ni:
Scholes
Vidic
Ferdinand
Giggs

Lakini
RvP
Chicha
Nani
Rafael
Cleverly
Welbeck
Fernandez
Evra
Kagawa wote hawa wameondoka ondoka tu.

Ramos alikua anatutumia sisi kupata mkataba unaoeleweka Madrid

endapo angewabakiza baadhi ya hao wachezaji waliondoka bila sababu inayoeleweka + akaitumia vema hela aliyokua kapewa kwajili ya usajili sidhani kama tungekuwa tunalalamika kiasi hiki, sasa kama alishindwa ku-manage mambo ya transfer hii ni dalili pia ya kufeli
 
Hii ndio tofauti, mashabiki wa livapuli wakiwa wanalia lia kwamba wanapata matokeo mabaya sababu wachezaji waliopo sio wa JK upande wetu tuna lalamika kwamba tunapata matokeo mabaya sababu wachezaji wengi wameondoka.

Wachezaji pekee waliondoka kwa sababu inayoeleweka ni:
Scholes
Vidic
Ferdinand
Giggs

Lakini
RvP
Chicha
Nani
Rafael
Cleverly
Welbeck
Fernandez
Evra
Kagawa wote hawa wameondoka ondoka tu.

Ramos alikua anatutumia sisi kupata mkataba unaoeleweka Madrid

endapo angewabakiza baadhi ya hao wachezaji waliondoka bila sababu inayoeleweka + akaitumia vema hela aliyokua kapewa kwajili ya usajili sidhani kama tungekuwa tunalalamika kiasi hiki, sasa kama alishindwa ku-manage mambo ya transfer hii ni dalili pia ya kufeli

moja ya kazi aliyopewa lvg ni kuondoa mizigo yote. ukumbuke lvg ni kocha wa muda tu kazi yake ni kutengeneza base ya kocha anaekuja.

na kama unakumbuka lvg alivyokuja kila mchezaji alipewa nafasi yake kuna watu tulijua hawabaki kama ashley young na fellaini ila wakakaza na wamebaki na walioshindwa wote wakaondoka.

so ilikuwa ni jukumu la man u sasa kuleta hao lvg aliokuwa anaona wanafaa.

ukimtoa chicha nambie hao walioondoka wanafanya nini huko walipo? wengi wao wanazingua tu.

na ukumbuke ukimbakisha mchezaji kilaza ujue watoto wa academy hawapati nafasi mwisho ya siku yanakuja kutokea ya kina pogba na pique.

leo watu kama lingard, perreira, wilson, etc wasingepata nafasi kama kina welbeck, rvp, chicha hawapo hivyo unakuwa na vilaza wengi waziba nafasi za watoto huku timu inafanya vibaya.

kama anakuja top player design ya bale, neymar, ronaldo, basi hapo hata mtoto anaelewa kwanini anapigwa bench.
 
MAJIRANI ......HABARI ZENYUUU BHAAAAANA!!!! NMEPITA KUWASALIMIA NAONA MWAKA MMEANZA NDIVYO SIVYO!!!!
 
makombe 6 ya madrid ya uefa yametokana na dictator wa spain aliyekuwa anaitwa franco. kipindi hicho madrid wanaalika timu za kucheza uefa halafu wanazifunga then wanabeba kombe.

yani uefa ya zamani ni kama kombe la sasa hivi la arsenal linaloitwa emirates cup, arsenal anaalika watu anawapiga ananyanyua kikombe.

ili tusizungumzie enzi za mwalimu tuangalie miaka ya karibuni 20-30 iliopita, manchester united ni bora kila idara compare na madrid kuanzia makombe ya ligi hadi uefa.

timu pekee ambayo bila ubishi imeizidi man u kimafanikio ni barcelona. ila madrid? hapana
Leo unakwepa kuangalia historia wakati ubora wa kitu haupati siku moja, anyway mmetoa mara ngapi mchezaji bora wa ulaya na dunia ndani ya miaka hiyo 20-30? Mmeshinda mara ngapi kwa kipindi hicho chote dhidi ya Madrid? Mnachukua kombe mbele ya vitimu dhaifu zaid kama Liver, The blues, Man City Arsenal kwa ufupi ligi dhaifu ila iko publicity sana halafu unakuja jifananisha na R Madrid? Tangu timu ligi yenu tajwa hapo juu ziliponunuliwa na matajiri kisha kuziimarisha kidogo mmechukua mara ngapi mbele yao? Jichungulie kwa jicho la nne utajiona uko wapi..
 
Mkuu sio kwamba tunasema walichokifanya Madrid ni sahihi ila angalia tofauti kati ya hizi club, benitez hakuwa na matokeo mabaya kiivo Madrid ila staili ya uchezaji wa Madrid ulibadilika, walikua wanaangalia zaidi matokeo kuliko entertainment.

Ukiangalia Madrid ndio iliyofunga magoli mengi kwa msimu huu (47), ipo point nne nyuma ya anaeongoza ligi, na point mbili nyuma ya mahasimu wao Barca, still wapo UCL sio matokeo mabayaa kiivo,

Msimu uliopita tunaweza kusema labda kweli van gaal alikua anaijenga timu, msimu huu tulianza vizuri tukaongoza hadi ligi na kuwa point nne juu ya anaeongoza sasa, tukaanza kutolewa C1C, tukaja uefa, tukaondolewa juu ya msimamo, tukaondolewa top four, mwezi mzima wa 12 hatujaonja ushindi, tumepata ushindi baada ya kuenda mechi nane bila ushindi, ( D4 L4) tupo nyuma kwa point Tisa kwa yule anaeongoza ligi, na point tatu kwa yule aliye top four na GD zaidi ya kumi, so kwa lolote lile hata tukishinda mechi ijayo na spurs akafungwa hatuwezi kuenda top four unless tumfunge Newcastle goli zaidi ya kumi,

Licha ya kwamba watu tunawacheka Madrid kwa maamuzi yao ya kukurupuka itabidi tukubali ukweli kwamba hata sisi pia tunachekwa kwa kutumia pesa nyiiingi lakin tuna compete na timu kama west ham, spurs na CPFC, badala ya kusonga mbele tunarudi nyuma,sidhani kama mafanikio aliyoyapata Carlo Madrid angekua utd kuna mtu angekua ana lalamika.

Ukweli mchungu we are now a laughing stoke, every one is laughing at us
Ww ndo upo kwny akili yangu, maelezo ya wadhamini wetu adidas niliyaelew sn kwmba mauzo ya jez zetu n ya kiwango cha juu kuliko matalajio yao lkn, team haichez mchezo mzuri na wa kuvutia… kiukweli tuache kumung'unya maneno yule kocha hatufai…
 
Leo unakwepa kuangalia historia wakati ubora wa kitu haupati siku moja, anyway mmetoa mara ngapi mchezaji bora wa ulaya na dunia ndani ya miaka hiyo 20-30? Mmeshinda mara ngapi kwa kipindi hicho chote dhidi ya Madrid? Mnachukua kombe mbele ya vitimu dhaifu zaid kama Liver, The blues, Man City Arsenal kwa ufupi ligi dhaifu ila iko publicity sana halafu unakuja jifananisha na R Madrid? Tangu timu ligi yenu tajwa hapo juu ziliponunuliwa na matajiri kisha kuziimarisha kidogo mmechukua mara ngapi mbele yao? Jichungulie kwa jicho la nne utajiona uko wapi..

ngoja nikupe kastori ka 1999 usifkiri fergie aliitwa tu sir

makundi Uefa
man u anapangwa kundi 1 na barcelona na bayern munich. kutokana na ukubwa wa hizo timu kila mmoja akajua man u out ila tukafuzu kundi bila kupoteza mchezo hata mmoja

mtoano
tukakutana na wakali wawili wa italia inter na juventus wakiwa na wachezaji wakubwa duniani enzi hizo kama zidane, edgar davids nk na wote tukawatoA. inter alikula 3-1 na juve 4-3

finali
tukamfunga bayern 2-1

manchester ikaeka record timu ya kwanza ambayo sio bingwa nyumbani kwao kubeba uefa.

kuhusu kuifunga madrid uwe timu kubwa

kama hiki ni kigezo nacho basi aberdeen kale katimu ka scotland alichokuwa anafundisha fergie ni timu kubwa sana duniani sababu waliwapiga bila huruma hao madrid mpaka man u wakamchukua fergie.

na sio kwamba tunakwepa historia hilo lipo wazi makombe 6 ya mwanzo ya madrid ni ya kupewa haiwezekani eti uefa zicheze timu nne tu tena za kuchaguliwa.
 
manchester ikaeka record timu ya kwanza ambayo sio bingwa nyumbani kwao kubeba uefa.
.

Mkuu hapo kama umenikomfyuz flani hivi, 99 si ndo tulichukua treble?? UEFA, FA na EPL?? Or ulikuwa unamaanisha nini hapo mkuu??
 
Mkuu hapo kama umenikomfyuz flani hivi, 99 si ndo tulichukua treble?? UEFA, FA na EPL?? Or ulikuwa unamaanisha nini hapo mkuu??

yap tulichukua treble ila hatukuwa bingwa wa 1998. mwaka 1998 alibeba kombe arsenal sisi tukafuzu uefa kama washindi wa pili.

sisi ni mabingwa wa ligi 1999.

(ushiriki wa uefa unatokana na nafasi ya ligi msimu uliopita, man united kabeba uefa 1999 hali ya kuwa si bingwa wa nchi aliotoka katika historia ya uefa man u ilikuwa ndio timu ya Kwanza kufanya hivyo)
 
yap tulichukua treble ila hatukuwa bingwa wa 1998. mwaka 1998 alibeba kombe arsenal sisi tukafuzu uefa kama washindi wa pili.

sisi ni mabingwa wa ligi 1999.

(ushiriki wa uefa unatokana na nafasi ya ligi msimu uliopita, man united kabeba uefa 1999 hali ya kuwa si bingwa wa nchi aliotoka katika historia ya uefa man u ilikuwa ndio timu ya Kwanza kufanya hivyo)

Asante mkuu, at least kuna kitu nimegain hapo.
 
ngoja nikupe kastori ka 1999 usifkiri fergie aliitwa tu sir

makundi Uefa
man u anapangwa kundi 1 na barcelona na bayern munich. kutokana na ukubwa wa hizo timu kila mmoja akajua man u out ila tukafuzu kundi bila kupoteza mchezo hata mmoja

mtoano
tukakutana na wakali wawili wa italia inter na juventus wakiwa na wachezaji wakubwa duniani enzi hizo kama zidane, edgar davids nk na wote tukawatoA. inter alikula 3-1 na juve 4-3

finali
tukamfunga bayern 2-1

manchester ikaeka record timu ya kwanza ambayo sio bingwa nyumbani kwao kubeba uefa.

kuhusu kuifunga madrid uwe timu kubwa

kama hiki ni kigezo nacho basi aberdeen kale katimu ka scotland alichokuwa anafundisha fergie ni timu kubwa sana duniani sababu waliwapiga bila huruma hao madrid mpaka man u wakamchukua fergie.

na sio kwamba tunakwepa historia hilo lipo wazi makombe 6 ya mwanzo ya madrid ni ya kupewa haiwezekani eti uefa zicheze timu nne tu tena za kuchaguliwa.
Ndg bado unakwepa historia afu unarudi kwenye historia.. Unazungumzia dhahania ya udikteta kwa Madrid dhidi ya UCL hizo ni fikra tu au ndo tuamini kubebwa kwenu MAN U ndani ya EPL enzi za Alex Ferg ambae alipewa hiyo heshima ya Sir kwa mtazamo wa Waingereza ambao wanaongoza kwa misifa ya kijinga? Kubali tu kuwa umeshatanguliwa na huwezi kumkaribia MADRID mpaka siku umeme utakaposambazwa kwa wireless.
 
Ndg bado unakwepa historia afu unarudi kwenye historia.. Unazungumzia dhahania ya udikteta kwa Madrid dhidi ya UCL hizo ni fikra tu au ndo tuamini kubebwa kwenu MAN U ndani ya EPL enzi za Alex Ferg ambae alipewa hiyo heshima ya Sir kwa mtazamo wa Waingereza ambao wanaongoza kwa misifa ya kijinga? Kubali tu kuwa umeshatanguliwa na huwezi kumkaribia MADRID mpaka siku umeme utakaposambazwa kwa wireless.

hapo nimejibu logic zako kuwa man u kazifunga timu ndogo na kwamba kumfunga madrid ndio ukubwa.

mafanikio ya fergie ni makubwa hakuna kocha wa sasa ambayo anayo even ya ulaya sababu uingereza utasema alikuwa anabebwa.

akiwa scotland na kitimu kidogo kinachoitwa aberdeen fergie alifanya maajabu ya dunia kwa kuchukua kombe la ulaya. na unajua kwanini watu walishangaa? aliwapiga bayern na madrid on process.

akiwa man u fergie akaeka rekodi nyengine ya ulaya kwa miaka 4 kuingia finali tatu za uefa 2008, 2009, 2011 kipindi hicho madrid wao ni mwendo wa kuishia 16 bora tu. kama hufahamu madrid miaka 5 mfululizo ameishia 16 bora.

niambie kocha gani wa sasa ana mafanikio hayo? mourinho? guardiola? anceloti?

mwaka 1995 fergie aliwaacha senior players wengi na kubakisha vikinda kina giggs, beck, butt, neville brothers na scholes watu wakaapa man u haichukua ubingwa fergie akabeba na watoto, je kocha gani wa sasa anauwezo huo? ukimtoa lvg hakuna kocha aliefanya hivyo.

madrid mtaendelea kujisifia na makombe ya franco na mtaendelea kuwa kivuli cha barcelona igeni tu kila kitu wanachofanya
 
hapo nimejibu logic zako kuwa man u kazifunga timu ndogo na kwamba kumfunga madrid ndio ukubwa.

mafanikio ya fergie ni makubwa hakuna kocha wa sasa ambayo anayo even ya ulaya sababu uingereza utasema alikuwa anabebwa.

akiwa scotland na kitimu kidogo kinachoitwa aberdeen fergie alifanya maajabu ya dunia kwa kuchukua kombe la ulaya. na unajua kwanini watu walishangaa? aliwapiga bayern na madrid on process.

akiwa man u fergie akaeka rekodi nyengine ya ulaya kwa miaka 4 kuingia finali tatu za uefa 2008, 2009, 2011 kipindi hicho madrid wao ni mwendo wa kuishia 16 bora tu. kama hufahamu madrid miaka 5 mfululizo ameishia 16 bora.

niambie kocha gani wa sasa ana mafanikio hayo? mourinho? guardiola? anceloti?

mwaka 1995 fergie aliwaacha senior players wengi na kubakisha vikinda kina giggs, beck, butt, neville brothers na scholes watu wakaapa man u haichukua ubingwa fergie akabeba na watoto, je kocha gani wa sasa anauwezo huo? ukimtoa lvg hakuna kocha aliefanya hivyo.

madrid mtaendelea kujisifia na makombe ya franco na mtaendelea kuwa kivuli cha barcelona igeni tu kila kitu wanachofanya
teh teh teh nonsense hii.. kubahatisha mwaka mmoja kusikupe kichwa hivi. Ferg wako hamfikii MOU hata robo kwa mafanikio. Mtu anakaa na litimu miaka ishirini na ushee afu unakuja kumsifia hapa eti anamafanikio kwa EPL!? Ushajisahaulisha Porto ilichukua UCL chini ya nani na wachezaji wa namna gani eeh? Mmekutana na kushinda mara ngapi kwa R.MADRID? Sie kufungwa na kitimu chako kile siyo suala la kujadili maana kawaida kuotewa wakati mwingine. Ushawahi ona au kusikia mchezaji wa R.MADRID anatamani kuhama pale au kwenda kokote kwingne? Ila wa kwaenu na others day an night dreams zao ni kusikia anatakiwa na Madrid. BARCA unaozungumzia ni hawalali mpaka siku akimfunga R.MADRID ndo mioyo yao yasuuzika. REAL MADRID is a place to be, OVA & OUT!!
 
teh teh teh nonsense hii.. kubahatisha mwaka mmoja kusikupe kichwa hivi. Ferg wako hamfikii MOU hata robo kwa mafanikio. Mtu anakaa na litimu miaka ishirini na ushee afu unakuja kumsifia hapa eti anamafanikio kwa EPL!?
toka aondoke porto mourinho ni miaka 12 au unaweza sema 11. 2004-2016 na haya ni mafanikio yake ya ligi
-chelsea mara 3
-inter mara 1
-madrid mara 1

so miaka 12 makombe 5 ni record ya kawaida compare na fergie rekodi yake ya 1992 hadi 2012/2013 ambapo makombe ya ligi ni zaidi ya nusu kama kumbukumbu zangu ni sahihi kabeba 13

so fanya simple math tupe jawabu

13/21 na 5/12 ipi kubwa?


Ushajisahaulisha Porto ilichukua UCL chini ya nani na wachezaji wa namna gani eeh? Mmekutana na kushinda mara ngapi kwa R.MADRID?
unahamu uone man u akimfunga madrid? usijali hamu yako nitaikidhi angalia video hii hapa chini
ronaldo, zidane, carlos, raul na mastaa wote ndani wakachezea kichapo traford


na juzi juzi hapa ashley young aliwafanya vibaya sijui unashabikia madrid ipi mpaka hujui kama man u wanawafunga.

Sie kufungwa na kitimu chako kile siyo suala la kujadili maana kawaida kuotewa wakati mwingine. Ushawahi ona au kusikia mchezaji wa R.MADRID anatamani kuhama pale au kwenda kokote kwingne?
-moratta katoka kwenu, nusu fainali akawapiga na akawatoa halafu mkamtaka akawachomolea au huyu moratta hajacheza madrid?

-alonso nae akawaacha solemba akaenda bayern huyu nae vipi?



Ila wa kwaenu na others day an night dreams zao ni kusikia anatakiwa na Madrid. BARCA unaozungumzia ni hawalali mpaka siku akimfunga R.MADRID ndo mioyo yao yasuuzika. REAL MADRID is a place to be, OVA & OUT!!

siku zote madrid walikuwa ni shimo la takataka la man u mchezaji akigombana na fergie anauzwa madrid
-beckham
-van nistelrooy
-heinze etc

mchezaji pekee ambae mlimchukua kwa force ni ronaldo tena baada ya kuvunja rekodi ya dunia.

hawa ndio malegend wetu wa karibuni hebu nitajie nani alikuwa anaitamani madrid na haitaki man u?

-Eric cantona
-ryan giggs
-paul scholes
-best
-irwin
-ferdinand
-Rooney
etc

na mfano mZuri ni rooney mumemtaka hadi basi lakini kabaki man u kwa hiari yake mwenyewe.

wachezaji wanaotamani kucheza madrid/barca ni wa america kusini ila wengi wa ulaya hawana time na timu kama hizo. wapo epl/bundesliga/seria a nk
 
Blah blah blah... Man U Ni timu bora kuliko Real Madrid at the end of the day mnaenda kucheza Europa league.
 
Back
Top Bottom