Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanazi wenzangu wa Manutd J3 tutacheza na watoto wa Mzee Wenger sijui lini watakua kila siku anadai timu yake bado changa.Wakuu wangu kuna kila dalili Man itapiga bao nyingi kama walivyoichapa Blackburn Rovers nawaomba wanazi wa Arsenal msikimbie ukumbi mashetani wekundu wanjulikana siku zote wanchukua ubingwa kuanzia December.

Habari ndiyo hiyo.
 
Wanazi wenzangu wa Manutd J3 tutacheza na watoto wa Mzee Wenger sijui lini watakua kila siku anadai timu yake bado changa.Wakuu wangu kuna kila dalili Man itapiga bao nyingi kama walivyoichapa Blackburn Rovers nawaomba wanazi wa Arsenal msikimbie ukumbi mashetani wekundu wanjulikana siku zote wanchukua ubingwa kuanzia December.

Habari ndiyo hiyo.

westham-splash_1174910a.jpg


Uzee utakuua. Hata Gabriel Robert Mugabe ana akili kama hizi ...... ...... anazeeka vibaya, usiige Tembo kunya mavi. Msiba mliopata kutoka kwa West Ham umeisha?

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee ati mashetani wekundu wanjulikana ...
 
Hahahaha, Evra kiboko! Angalia anavyosema hapo chini.


'For me, Arsenal is a football training centre. You watch the match, you enjoy it, but are you going to win a title afterwards? That's what people remember.

'It has been five years since they won anything and for a big club like Arsenal, that is a crisis.
'We can lose against them on the 13th (Monday), but at the end of the day, what is there (for Arsenal)? There is nothing. There are no trophies, there is nothing.
'When we play against Arsenal, it is really fun,' he said. 'They are a team that plays football who will not come to Old Trafford with 11 men behind the ball. We also play football, but the difference is that we also have strength. Sometimes, they cannot kill off matches. We are more efficient.'
Earlier this week team-mate Nani claimed the Gunners were the biggest threat to United's hopes of becoming the most successful club in British history, with 19 top flight titles.
However Evra is more wary of defending champions Chelsea, who could be ahead of both Arsenal and United by the time they kick off, if they beat in-form Tottenham on Sunday afternoon.

'Our real enemy is Chelsea. We are more concerned with Chelsea's results than those of Arsenal, even if we know Arsenal are a great team who can beat Chelsea, us (United) or anyone.'
Evra's latest outburst echos a similar claim he made in 2009 when United dumped Arsenal out of the Champions League.
Speaking then, he said: 'We proved once again that we are a strong team,' Evra told Spanish newspaper AS after last night's 3-1 win at The Emirates.

'People say that Arsenal play good football but, as far as we are concerned, we dominated them comfortably. Playing well is not everything in this game. We were 11 men and they were 11 children.

'We played like men against children because we are much more mature and we are more experienced than Arsenal.'



Read more: Arsenal in crisis! Manchester United's Patrice Evra blasts Gunners | Mail Online
 
westham-splash_1174910a.jpg


Uzee utakuua. Hata Gabriel Robert Mugabe ana akili kama hizi ...... ...... anazeeka vibaya, usiige Tembo kunya mavi. Msiba mliopata kutoka kwa West Ham umeisha?

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee ati mashetani wekundu wanjulikana ...


Heshima kwako wacha 1,

Mkuu ungekuwa unaishi Arusha tungeangalia wote mechi kipenga cha mwisho wa mechi aliyeshindwa anatandikwa bakora kutegemea idadi ya magoli.
 
Heshima kwako wacha 1,

Mkuu ungekuwa unaishi Arusha tungeangalia wote mechi kipenga cha mwisho wa mechi aliyeshindwa anatandikwa bakora kutegemea idadi ya magoli.


Mkuu mimi nipo hapa Makao Mapya chacha chema wewe tukutane wapi tuangalie hiki kinyang'anyiro ..... and then jiandae kwenye makalio maana bakora tayari tayarisha. Khe khe kheeeeeeeee
 
Mkuu mimi nipo hapa Makao Mapya chacha chema wewe tukutane wapi tuangalie hiki kinyang'anyiro ..... and then jiandae kwenye makalio maana bakora tayari tayarisha. Khe khe kheeeeeeeee

Ewaaa tuangalie Cinemas mkuu maeneo ya Njiro usiogope bei ya bia nitakulipia usafiri usijali kabisa.Usisahau Cinemas ni kiwanja cha Manutd usije na mijezi ya Arsenal utakimbizwa bure.
 
Ewaaa tuangalie Cinemas mkuu maeneo ya Njiro usiogope bei ya bia nitakulipia usafiri usijali kabisa.Usisahau Cinemas ni kiwanja cha Manutd usije na mijezi ya Arsenal utakimbizwa bure.

Khe khe khe si unajua tena mkishafungwa ni lazima nikupige bakora inabidi uje nyumbani kwangu njomba. Nitumie PM ili tuwasiliane. Njoo kwangu bana bia utakunywa za bure tu haina shaka usiwe na wasi wasi, njoo hata na rafiki zako tu mambo poa kabisa. Nikuchukue wewe pamoja na maswaiba wako wote wanoko wa Manure tukate mzizi wa fitna.

Khe khe khe kheeeeeeeee
 
Nimemind kwa mechi kubwa kama hii kupangwa jumatatu, nevertheless kwa wapenzi wa man utd mechi ipi kati ya hizi dhidi ya arsenal bado inakupa furaha; 1. 1999 giggs alipofunga wonder goal baada ya kupiga chenga nusu ya arsenal 2. Ushindi wa kishindo wa 6 - 1 mwaka 2001 3. Ushindi wa 3 - 1 kwenye nusu fainali ya ucl mwaka 2009?
 
Nimemind kwa mechi kubwa kama hii kupangwa jumatatu, nevertheless kwa wapenzi wa man utd mechi ipi kati ya hizi dhidi ya arsenal bado inakupa furaha; 1. 1999 giggs alipofunga wonder goal baada ya kupiga chenga nusu ya arsenal 2. Ushindi wa kishindo wa 6 - 1 mwaka 2001 3. Ushindi wa 3 - 1 kwenye nusu fainali ya ucl mwaka 2009?

Mimi sio mshabiki wa timu zote mbili, lakini I have to say lile bao la Giggs nusu fainali ya FA lilikuwa bab kubwa! Mabeki wa arsenil walikuwa wanaanguka kama nzige, simply brilliant.
 
Mimi sio mshabiki wa timu zote mbili, lakini I have to say lile bao la Giggs nusu fainali ya FA lilikuwa bab kubwa! Mabeki wa arsenil walikuwa wanaanguka kama nzige, simply brilliant.

...ha ha ha!

si useme tu baina ya Arsenal na Manure unashabikia Manure! I bet leo unaombea 'msiba' tu
kwa vijana wa Imarati...

anyway,...

(in no particular Order) Eqlypz, Manda, Belo, wapenzi wa Man United woooooote bila kumsahau BJ wa Ukweli! ..Time zinayoyoma, 20h00 GMT, msema kweli dakika 90 za mchezo unless referee awaongezee na zile bonus - 7mins kama kawaida.

Kila la heri katika utizamaji na ushangiliaji wa mechi ya leo!
There will always be One winner, hata kama ni kwa point moja moja.

Fair Play kwa wote 😛eace:
 
...ha ha ha!

si useme tu baina ya Arsenal na Manure unashabikia Manure! I bet leo unaombea 'msiba' tu
kwa vijana wa Imarati...

anyway,...

(in no particular Order) Eqlypz, Manda, Belo, wapenzi wa Man United woooooote bila kumsahau BJ wa Ukweli! ..Time zinayoyoma, 20h00 GMT, msema kweli dakika 90 za mchezo unless referee awaongezee na zile bonus - 7mins kama kawaida.

Kila la heri katika utizamaji na ushangiliaji wa mechi ya leo!
There will always be One winner, hata kama ni kwa point moja moja.

Fair Play kwa wote 😛eace:

Mechi wamempa Web ni shabiki ile mbaya anawapendelea sana Manure na Chelsick ... .... .... lakini leo ngoma kubwa watalia tu.
 
Namtafuta Ngongo nina miadi naye leo naona kapotea .....
 
Mind games key in United clash




Mon Dec 13 11:41AM
376,http%3A%2F%2Fa323.yahoofs.com%2Fymg%2Fwenger_uk%2Fwenger_uk-112406375-1292240451.jpg%3FymDp5OEDtMDU_q0J

Tonight's game at Old Trafford takes on a psychological importance. The Premier League won't be won tonight, but the game could have a significant impact on the players' state of mind and self-confidence.
United seem to be playing better and better; they are improving their performance game after game.
The strength of the team is emerging, and it is coinciding with Wayne Rooney's return to his best level.
United will be a serious rival for us in the Champions League and the Premier League, and I think they will be really hard to play against in the second half of the season.
They seem to have rediscovered their defensive stability, and if they can merge it with their attacking ability they will be very dangerous.
For us it is one of the biggest matches of the season, so of course our goal is to win. We have demonstrated that we are strong and efficient away from the Emirates Stadium.
We have only lost once away, against Chelsea, and we have a lot of regrets about the game at Stamford Bridge. We shouldn't have lost that match.
We didn't put in a great performance in our last game against Partizan Belgrade, and I think that most of my players had the match against Manchester United in mind.
Maybe we suffered from the 'fear of losing' syndrome, but we did what we had to do to qualify for the next round.
 
Rooney scored in both Premier League meetings with Arsenal last season and has seven in 16 league games against the Gunners in total.
 
...ha ha ha!

si useme tu baina ya Arsenal na Manure unashabikia Manure! I bet leo unaombea 'msiba' tu
kwa vijana wa Imarati...

anyway,...

(in no particular Order) Eqlypz, Manda, Belo, wapenzi wa Man United woooooote bila kumsahau BJ wa Ukweli! ..Time zinayoyoma, 20h00 GMT, msema kweli dakika 90 za mchezo unless referee awaongezee na zile bonus - 7mins kama kawaida.

Kila la heri katika utizamaji na ushangiliaji wa mechi ya leo!
There will always be One winner, hata kama ni kwa point moja moja.

Fair Play kwa wote 😛eace:


Kusema kweli ningependa sana mtoe draw leo maana hiyo itatupa nafasi sisi. Lakini kama itatokea mkafungwa poa tu, maana kelele zitapungua hapa JF.
Seriously, my money is on draw.
 
Mechi wamempa Web ni shabiki ile mbaya anawapendelea sana Manure na Chelsick ... .... .... lakini leo ngoma kubwa watalia tu.

sorry unaana ukisinda umejitahidi ukifungwa umeonewa what a defensive mechanism?wacha bana leo na men vs boyz 2 -1.go manu go.
 
Back
Top Bottom