Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Mmeshaanza kulialia kabla ya game
Ndio zo hao, mpaka inaboa. Dawa yao kipondo cha nguvu.
Mmeshaanza kulialia kabla ya game
Magoli waliyokosa nani na anderson should have put this game to bed...A second goal should settle this one till then the game is still open.Man Utd wanaelekea kushinda hii mechi. Arsenal will always roll over for Man utd
Subiri tarehe 13,najua mtaanza kusingizia tumebebwa
Arsenal watavumaje mbele ya Manure??..
Mechi wamempa Web ni shabiki ile mbaya anawapendelea sana Manure na Chelsick ... .... .... lakini leo ngoma kubwa watalia tu.
Mmeshaanza kulialia kabla ya game
Arsenal watavumaje mbele ya Manure??..
Wewe ni mshabiki pekee wa arsenal unayelalamika kuhusu refa hivi ulikuwa unaangalia mechi gani? Kubali mmefungwa fairly and squarely hizi yengele za sijui uwanja na refa hazina mshiko.
![]()
Mzee wa vitisho huyu hapa .... .....
kama tulivyosema Arsenal 4 yellow cards ....Manure 0
Licha ya kufanya fujo 8 kwenye kiwanja kisichokuwa na hadhi
ya mpambano kama huu.
Mchezaji wa 12
Haya mtakuja Emirates tutaona kama watamleta tena
huyu mchezaji bandia
Naona na wanazi wengine wamefufuka khe khe kheeeeeeeeeee
![]()
Mzee wa vitisho huyu hapa .... .....
kama tulivyosema Arsenal 4 yellow cards ....Manure 0
Licha ya kufanya fujo 8 kwenye kiwanja kisichokuwa na hadhi
ya mpambano kama huu.
Mchezaji wa 12
Haya mtakuja Emirates tutaona kama watamleta tena
huyu mchezaji bandia
Naona na wanazi wengine wamefufuka khe khe kheeeeeeeeeee
Huyo Wacha utamsubiri mpaka kuche, yupo anachungulia tu. Kawaida yake ni kwamba hawezi moto wa live match, anasubiri kwanza aone matokeo, wakishinda anawahi hapa na mapicha kibao, wakichapwa kama leo atavizia hapa watu hakuna kesho yake au usiku sana anaweka vilio vyake hapa kwamba wameonewa na refa au timu pinzani wamecheza rafu, huyu ni shabiki pekee wa Arsenal ambaye sijawahi kumsikia akikubali Arsenal kuzidiwa, hata walipochapwa na Barca alisema wameonewa na wao ndio walicheza vizuri....inawezekana kabisa ana undugu nayule Mkenya aliyejinyonga....amekunywa maji ya bendera kama vile vizee vya CCM, ana kila sifa za ki-CCM lazima atakuwa mkereketwa.
TANGU LINI NGOMA YA WATOTO IKAKESHA?
</p><font face="Comic Sans MS">Hapa Xmas saafi kabisa....mwendo wa mbege na beer kwa wingi.....</font></p>
<p> </p>
<p>