Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Namtafuta Ngongo nina miadi naye leo naona kapotea .....


Wanajamvi namtafuta Wacha 1 simuoni kabisa jana tulikuwa na miadi lakini hakutokea uwanjani bila shaka alijua bakora zingemhusu !!!!.
 
Special salaam kwa rafiki angu Wacha1.
Unajua mm nakuheshimu na kukuheshimu sn kaka?, usiniangushe bana...! mbona huwa waepa sana HEAD to HEAD debate/argumentation wakati mechi yaendelea?, mbwembwe zako za MAPICHA walaaa hazifanani na aftermath reaction wakat wa mechi. embu kuwa basi kina AW, Genaika, BB, Mbu, Kweli, Bnltnd, etc etc ambao pamoja na kelele zao zisokuwa na kuchwa wala miguu huwaga hawakimbii...lol!?????
Unless we brand the a.k.a...Wacha1 the Great of the Greatest the Conquer of the Conquerest the COWARD of the COWARDEST! hahahahaha!
(mnisamehe english yangu apo juu)


Hiyo ni sign tosha kabisa kuonyesha kwamba haiamini timu yake kiuwezo, ndio maana anavizia ili asipate aibu. Ni shida sana unapojaribu kupigia debe kwa nguvu kitu ambach unaamini akina viwango vinavyohitajika.
 
Nimeipenda HII

Not-so-young Gunners are little lost boys in this man's world
It is not 11 men against 11 babies any more. Arsenal are out of their nappies. That much was obvious last night. They are getting closer to the age of maturity, a lot closer, but they still have an embarrassing tendency to cut themselves shaving. And even though they competed well with their hosts, Arsenal will be haunted by the realisation that they could not hurt a Manchester United side that is not what it was. Many had expected Arsene Wenger's team to come to Old Trafford last night and end United's unbeaten record this season in the same way that United finally ended Arsenal's Invincibles 49-match unbeaten run here six years ago. But although this match was fiercely contested, there was not the same intensity about it as some of the classic encounters between these two sides down the years. United are a weaker side without Cristiano Ronaldo and Carlos Tevez. They are not the team that destroyed Arsenal in the "Men v Babies" Champions League tie the season before last. But, on last night's showing, Arsenal are not quite ready to overtake them yet in the race for Chelsea's title.
 
According to the latest weakleaks reports released by JF intelligence agents Rev. Masa na Peasant, revealed tht Wacha1 is no longer, it is presummed tht he has 'mkwawanize' after manure defeat, PM zilizonaswa kati yake akiwasiliana na wenzake kina Mbu na AW akiwaaga na kuwakabidhi majukumu ya ku post mapicha humu ndani.
RIP Wacha1! lol!

BTW.. kama upo hai jitokeze basi Wacha1, we miss u dearly.
 
According to the latest weakleaks reports released by JF intelligence agents Rev. Masa na Peasant, revealed tht Wacha1 is no longer, it is presummed tht he has 'mkwawanize' after manure defeat, PM zilizonaswa kati yake akiwasiliana na wenzake kina Mbu na AW akiwaaga na kuwakabidhi majukumu ya ku post mapicha humu ndani.
RIP Wacha1! lol!

BTW.. kama upo hai jitokeze basi Wacha1, we miss u dearly.

Heshima kwako Manda,

Mkuu Wacha1 mjanja kweli kakimbia tangu jana unafikiri yeye mjinga ajipendi sijui tutumie mbinu gani tumkamate anakimbia adhabu ya bakora.
 
Arsenal watavumaje mbele ya Manure??..


BJ upo Duh! nilifikiri umetangulia mbele ya haki .... khe khe e au matusi ya Chelsick yalikukimbiza karibu sana ....
 
Wewe ni mshabiki pekee wa arsenal unayelalamika kuhusu refa hivi ulikuwa unaangalia mechi gani? Kubali mmefungwa fairly and squarely hizi yengele za sijui uwanja na refa hazina mshiko.

Khe khe inategemea umeangalia mechi gani so far what we saw ni Fletcher kum-manhandle referee na kama asingekuwa Webb angeambulia kadi hata statistics ukiangalia faulo 8 hamna kadi absolutely pathetic, tena angalia hali ya uwanja ndio sababu hata Fergi mwenyewe alikuwa amenyong'onyea baada ya mechi angalia tena kama una facilities ni aibu kwa timu kubwa kama Manu kumshambulia refa na kubebwa kama watoto wadogo. Hiyo ni halftime bro karibu Emirates 30th April 2011 kwenye second half.

Kazi safi sana walikuwa wanapiga kelele sana oo Nasri yuko kwenye form


Muulize Webb kwa nini hakutoa kadi kwa rafu aliyofanyiwa. Webb ni wenu tu we know that lakini ngoma bado mbichi.
 
Washukuru sana MUNGU hawa ilikuwa wapigwe 5 bila

khe khe khe kama hamuwezi kufunga kutoka maguu kumi na mbili mtaweza kwenye open play katika carpet safi khe khe kheeeee ndoto ya wendawazimu ..
 
Wasaalam kutoka huku maombolezoni!.
Hongera Manure fans wenzangu wte, na senks kwa wote mliokuwa mnatusapoti, Peasants kwa niaba ya wapinzani (wth exception of arseNOOls), senks kwa kujibu hoja vzur, na senks BAADHI ya arseNOOls fans ambao ni waungwana na wanakubali matokeo. ni vile natumia mobile kusoma na ku post comments siwez gonga senks kwa post husika.
TANGU LINI NGOMA YA WATOTO IKAKESHA?

Wacha ngebe kwa mpira mliocheza wa kubebwa sahauni.
 
 
Hapa Xmas saafi kabisa....mwendo wa mbege na beer kwa wingi.....

X-Mass kwako tayari khe? karibu sana usiwe unakimbia jukwaa.
 
 
 
Naona watatulia sasa hivi hasa huyo Wacha1 maana kabla ya game alikuwa anapiga kelele sana

Kwa mpira upi wa kubebwa?
 
 
Na mwaka huu ni mwendo wa kukomaa na bikra.....:A S soccer:

Bikiri nani kama sio Fletcher atakuja Emirates ndio atajua kwamba mpira unachezwa vipi?
 
Special salaam kwa rafiki angu Wacha1.
Unajua mm nakuheshimu na kukuheshimu sn kaka?, usiniangushe bana...! mbona huwa waepa sana HEAD to HEAD debate/argumentation wakati mechi yaendelea?, mbwembwe zako za MAPICHA walaaa hazifanani na aftermath reaction wakat wa mechi. embu kuwa basi kina AW, Genaika, BB, Mbu, Kweli, Bnltnd, etc etc ambao pamoja na kelele zao zisokuwa na kuchwa wala miguu huwaga hawakimbii...lol!?????
Unless we brand the a.k.a...Wacha1 the Great of the Greatest the Conquer of the Conquerest the COWARD of the COWARDEST! hahahahaha!
(mnisamehe english yangu apo juu)


Debate ipi hiyo mbona wewe ndio hukuwepo? Mimi nilikuwepo lakini hatukuwa na miadi na wewe labda unikumbushe unaweza tembelea Arsenal New Era I was Live labda kama unaongelea makengeza ya kubebwa na Webb huyu hapa chini ..... .

article-1338358-0C78A822000005DC-416_306x423.jpg

Kwa nilichokiona hamna kitu mkuu jiridhishe lakini mwaka huu hamuambulii kitu mark my words.

According to the latest weakleaks reports released by JF intelligence agents Rev. Masa na Peasant, revealed tht Wacha1 is no longer, it is presummed tht he has 'mkwawanize' after manure defeat, PM zilizonaswa kati yake akiwasiliana na wenzake kina Mbu na AW akiwaaga na kuwakabidhi majukumu ya ku post mapicha humu ndani.
RIP Wacha1! lol!

BTW.. kama upo hai jitokeze basi Wacha1, we miss u dearly.

Mkuu naona unaniweka 6ft hata kabla ya kuvuka mto tupo halftime tu au unataka kuridhi matusi kutoka kwa Chelsick? The Mafioso team?

Nafahamu vidonge nilivyowapa vinafanya kazi ndio sababu mwezi mzima huu wapo kwenye matanga.
 
Wanajamvi namtafuta Wacha 1 simuoni kabisa jana tulikuwa na miadi lakini hakutokea uwanjani bila shaka alijua bakora zingemhusu !!!!.

Heshima kwako Manda,

Mkuu Wacha1 mjanja kweli kakimbia tangu jana unafikiri yeye mjinga ajipendi sijui tutumie mbinu gani tumkamate anakimbia adhabu ya bakora.


Mkuu ulipotea nimekuletea PM hii hapa kama ushahidi ..... hapa chini ...





Recipient Users:
  1. Yesterday 02:54 PM


    Wacha1
    user-online.png

    JF Senior Expert Member
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_highpos.png
    reputation_highpos.png
    reputation_highpos.png
    Join Date Mon Dec 2009 Posts 2,567 Thanks 1,120 Thanked 1,309 Times in 918 Posts Rep Power 26

    icon1.png
    Mechi saa tano usiku vipi nije kukuchukua wapi?

    Mkuu vipi?

    Nipe number yako basi tuwasiliane.




Jana nimekutafuta hapa kama ushahidi .......

Yesterday 02:52 PM #3518


Wacha1
user-online.png

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date Mon Dec 2009 Posts 2,567 Thanks 1,120 Thanked 1,309 Times in 918 Posts Rep Power 26

icon1.png
Re: Man U... Red Devils Hatushikiki

Namtafuta Ngongo nina miadi naye leo naona kapotea .....






Mbona unataka kupotosha au hiyo ni jadi yako? Labda uniambie kama ulikuwa unanitafuta mfukoni mwako?


Mkuu Wacha ngebe na upotoshaji ... ... mpira kama michezo mingine mimi siwezi kukupa ahadi za kitapeli .. .. mshukuruni Webb lakini ndio nasema hamuezi kumpata Webb na M. Dean kwenye mechi zenu zote zilizobaki




Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-1338358-0C78C587000005DC-80_634x466.jpg


Mnafiki Webb huwezi kuchezesha mechi kwa kuwapa kadi timu moja tu

na nyingine unawakonyeza .... Arsenal 4 yellow cards Manure 0 wakati walifanya faulo 8




Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee




Kwa wale ambao hawakujibiwa basi wajue wako Lupango kwenye monitor yangu wanajijua khe khe kheeeeeee
 
BJ upo Duh! nilifikiri umetangulia mbele ya haki .... khe khe e au matusi ya Chelsick yalikukimbiza karibu sana ....
 


Khe khe inategemea umeangalia mechi gani so far what we saw ni Fletcher kum-manhandle referee na kama asingekuwa Webb angeambulia kadi hata statistics ukiangalia faulo 8 hamna kadi absolutely pathetic, tena angalia hali ya uwanja ndio sababu hata Fergi mwenyewe alikuwa amenyong'onyea baada ya mechi angalia tena kama una facilities ni aibu kwa timu kubwa kama Manu kumshambulia refa na kubebwa kama watoto wadogo. Hiyo ni halftime bro karibu Emirates 30th April 2011 kwenye second half.




Muulize Webb kwa nini hakutoa kadi kwa rafu aliyofanyiwa. Webb ni wenu tu we know that lakini ngoma bado mbichi.
 


khe khe khe kama hamuwezi kufunga kutoka maguu kumi na mbili mtaweza kwenye open play katika carpet safi khe khe kheeeee ndoto ya wendawazimu ..
 


Wacha ngebe kwa mpira mliocheza wa kubebwa sahauni.
 
 


X-Mass kwako tayari khe? karibu sana usiwe unakimbia jukwaa.
 
 
 


Kwa mpira upi wa kubebwa?
 
 


Bikiri nani kama sio Fletcher atakuja Emirates ndio atajua kwamba mpira unachezwa vipi?
Tumekuzoea wewe kulialia ni kawaida yako,haujaanza leo na hautamaliza leo,nakwambia kama Mr. Bean ataendelea kuwa kocha wenu tutaendelea kuwapa dozi
 
article-1338358-0C78C587000005DC-80_634x466.jpg


Mnafiki Webb huwezi kuchezesha mechi kwa kuwapa kadi timu moja tu

na nyingine unawakonyeza .... Arsenal 4 yellow cards Manure 0 wakati walifanya faulo 8




Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee




Kwa wale ambao hawakujibiwa basi wajue wako Lupango kwenye monitor yangu wanajijua khe khe kheeeeeee

Veta naona siku hizi wanafundishwa na kupiga buti, jana wametembeza daluga za kufa mtu..

tatizo AW hana formation mbadala akishikwa ndio basi tena eti sex foootball nyoooooo mbona mlikua mnatembeza viatu tu
 
According to the latest weakleaks reports released by JF intelligence agents Rev. Masa na Peasant, revealed tht Wacha1 is no longer, it is presummed tht he has 'mkwawanize' after manure defeat, PM zilizonaswa kati yake akiwasiliana na wenzake kina Mbu na AW akiwaaga na kuwakabidhi majukumu ya ku post mapicha humu ndani.
RIP Wacha1! lol!

BTW.. kama upo hai jitokeze basi Wacha1, we miss u dearly.


R.I.P. Wacha1....tutamiss sana udaku hapa jamvini, lakini kumbuka kumsalimia sana Omondi mwambie mambo hayajabalikika huku, Arsenal wanaendelea kuchezea vichapo kama alivyowaacha ndio maana nawe umeamua kumfuata...lol
 
Tumekuzoea wewe kulialia ni kawaida yako,haujaanza leo na hautamaliza leo,nakwambia kama Mr. Bean ataendelea kuwa kocha wenu tutaendelea kuwapa dozi


''Ebana ukiiongelea Chelsea unaniumiza weye! Wacha bana, minya tu mwana... Mbona mi sijaongea chochote juu ya Arsenal? Minya babake! ..... ''

Wacha mchezo wewe unaona wanaolia hapo juu, wako kwenye matanga wana mwezi chacha ........


khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee,

Wala hatuna pressure na kubebwa kwenu kwa sababu ni halftime tu.

 
Wacha1 spin it however you want ukweli unabaki jana mlishikwa vizuri na flowing football yenu ilitibuliwa, eti mnalalamikia pitch gtfoh...kwani man utd walikuwa wanachezea pitch tofauti na arsenal? Katika excuses mbovu za kufungwa kwenye soka hii iko kwenye top 3. Mkuu wewe umeona foul 8 za man utd lakini 17 za arsenal hukuziona majority ya hizo zimetoka kwa song wachezaji wako walianza kucommit fouls right from the get go.
Kuwa kama wenzako akina aw,mbu,richard et al wamekubali mmefungwa fairly na timu iliyocheza vizuri period, mechi imeshapita tusubirie mechi zijazo tu.
 
Wacha1 spin it however you want ukweli unabaki jana mlishikwa vizuri na flowing football yenu ilitibuliwa, eti mnalalamikia pitch gtfoh...kwani man utd walikuwa wanachezea pitch tofauti na arsenal? Katika excuses mbovu za kufungwa kwenye soka hii iko kwenye top 3. Mkuu wewe umeona foul 8 za man utd lakini 17 za arsenal hukuziona majority ya hizo zimetoka kwa song wachezaji wako walianza kucommit fouls right from the get go.
Kuwa kama wenzako akina aw,mbu,richard et al wamekubali mmefungwa fairly na timu iliyocheza vizuri period, mechi imeshapita tusubirie mechi zijazo tu.

Kwa hiyo hao uliowataja ndio unaowaamini basi wakisema lazima wote tuseme hewala? Je, wewe hukuona kumfuu la Fletcher kwa referee? Sasa hata kama unaangalia uwiano faulo 17 = 4 cards kwa Arsenal za Manure ziko wapi?

Ubovu wa kiwanja chenu unachangia kwa sababu mmezoea kucheza kwenye matofali au Vipi? Ukisema hivyo mbona Rio Ferdinand mwenyewe amekubali kwamba walikuwa wamekwenda kwa jazba ili kuharibu mpira? Na hilo utasemaje? Vile vile usisahau mchezaji wa Arsenal alimaliza mpira na jezi iliyotobolewa (Kuchanika) Sijui ilichanika vipi? Labda utujulishe.
 
Kwa hiyo hao uliowataja ndio unaowaamini basi wakisema lazima wote tuseme hewala? Je, wewe hukuona kumfuu la Fletcher kwa referee? Sasa hata kama unaangalia uwiano faulo 17 = 4 cards kwa Arsenal za Manure ziko wapi?

Ubovu wa kiwanja chenu unachangia kwa sababu mmezoea kucheza kwenye matofali au Vipi? Ukisema hivyo mbona Rio Ferdinand mwenyewe amekubali kwamba walikuwa wamekwenda kwa jazba ili kuharibu mpira? Na hilo utasemaje? Vile vile usisahau mchezaji wa Arsenal alimaliza mpira na jezi iliyotobolewa (Kuchanika) Sijui ilichanika vipi? Labda utujulishe.
Lol rio ferdinand kakubali wapi?Sasa in your eyes rio na the rest of the team waliharibu mpira ama waliwaweka wachezaji wako mfukoni including in-form nasri? Wacha1 kitu kimoja ambacho hakijabadirika siku zote man utd ikiifunga arsenal ni visingizio; mfano tulivyowafunga 3-1 (emirates) msimu uliopita mlisema sijui gallas alikuwa out of form, season before that tulivyowafunga kwenye cl mkasema ooh mmetufunga kwa sababu mna ronaldo yani kila siku ni visingizio tofauti tuuu stfu and play ebo!
Pitch ilikuwa mbovu mkashindwa kuperform lakini haikuwazuia wachezaji wenu kucheza foul za kipuuzi? Hiyo excuse ya pitch ni ya kipuuzi. Fouls zote walizofanya wachezaji wa man u hazikuwarrant yellow card ndio maana humsikii kocha wako na wachezaji wakizungumzia kuhusu refa for all i know he was lenient kwenu. Sore loser.
 
Back
Top Bottom