Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU

Leicester wanasikitika kwanini hawakucheza na Utd mechi za mwanzoni
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
DonDonald naona ushindi wa kwanza umewarudisha wengi hapa. Ushindi wa tatu mtarudisha chata la "MANCHESTER UNITED HATUSHIKIKI"
 
rubaman kubali Utd hii sio aliyorithi Giggs.... huu mziki mwingine

Ninefurahi kwenye jukwaa lenu umekubalu performance ya timu yenu msimu huu sio nzuri..... na bado
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
rubaman kubali Utd hii sio aliyorithi Giggs.... huu mziki mwingine

Ninefirahi kwenye jukwaa lenu umekubalu performance ya timu yenu msimu huu sio nzuri..... na bado

Yeah kwa timu ya UCL level performance yetu hadi sasa hairidhishi.
 
Ila pale kati pako poa sana...wasiwasi ni beki aisee...tunahitaji mtu kama Hummels pale nyuma...ngoja tuone Januari...

Sure mkuu,evans ana makosa madogodogo meng sana. Ambayo yanakera mno,na jones nae majeruh hayamwishi kila baada ya mwezi, 4 sure tunahtaj kuongeza cb.
 
Hahahahaha lol!!! Mmefufuka leo kwa kukutana na jamvi la EPL? Hivi baada ya kutia kibindoni hizi 3 points ndio mnakuwa na points ngapi vile? Na mnapanda mpaka nafasi ya ngapi vile?

Hahahaha mtabadilisha maneno sana this time,we are looking forward to our next match.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Haya ni mapumziko ya wiki mbil nna imagine baada ya mwezi itakuuuuuuuaaaaajeeeeee itakuaaaaaaajeeeee....
 
Back
Top Bottom