Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Diego Costa msubirini he he he
Kazeeka yule. Watu wanapiga job hapo kati. Utawataka. Mbabe wenu falcao yupo, chicha ameondoka.
Diego Costa msubirini he he he
Blind, pokea shikamoo yangu pia...
Typical #MkaangaSumu 
Hahahahaha lol!!! Mmefufuka leo kwa kukutana na jamvi la EPL? Hivi baada ya kutia kibindoni hizi 3 points ndio mnakuwa na points ngapi vile? Na mnapanda mpaka nafasi ya ngapi vile?
Ningekuwa mimi ni LvG ningemtoa Di Maria na kumwingiza Januzaj...Di Maria keshafanya kazi yake...
pengo la matta linaonekana sasa
Hivi vitimu vikitukomalia ooh Man wabovu.tukivifunga ooh mnaonea. Mnadhania ubingwa unapatikanaje? Unatakiwa kupata maximum points.
Mtajijuuu
Pole pole ndo mwendo