Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila pale kati pako poa sana...wasiwasi ni beki aisee...tunahitaji mtu kama Hummels pale nyuma...ngoja tuone Januari...
 
Hahahahaha lol!!! Mmefufuka leo kwa kukutana na jamvi la EPL? Hivi baada ya kutia kibindoni hizi 3 points ndio mnakuwa na points ngapi vile? Na mnapanda mpaka nafasi ya ngapi vile?


Tumeanza league mkuu. Tumewapa welbeck na tunawachapa nae
 
Back
Top Bottom