Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Na kweli akizubaa atamwona falcao mbaya.
Salama Mkuu!? naona hatimaye umeibuka.
Na kweli akizubaa atamwona falcao mbaya.
Pia kufunga kvamwongezea kujiamini na kupunguza pressureBulldog yeah RVP inabidi afunge goli ili arudi kwenye hali aliyozoea ya kutikisa nyavu
Endelea kuota hvyohvyo, wish kila siku iwe week end ili ushuhudie dozi tunazozigawaUshindi wa kwanza baada ya siku nyingi umewatoa watu toka katika self-induced Coma
CC: DonDonad, Belo, Mndengereko
mi shkamoo yangu leo nampa rojo ametulia sana huyu dogo,pia shkamo nyngne imwendee herrera yuko makini sana,di maria kama kawa ataendelea kuwatoa damu mpk waombe pooBlind, pokea shikamoo yangu pia...
mwache aendelee na upuuzi wake benchi litamwita njeValencia unafanya nin?? Watu walikuwa wameshajaa kati.
sijui kwa nini hataki kukua huyu dogo dah,kila siku selfishness haimwishDogo Januzaj kawa mchoyo pale, dah!!!
na bado mpk jeneza atavunjaDuuuh! Naona leo Maiti kachana Sanda!!!
mpk ugali atakula tena mwenyewe wala sio kwa kulishwa tena wa muhogo.......mgonjwa kanywa uji, wanafamilia wanaanua matanga!
DonDonald naona ushindi wa kwanza umewarudisha wengi hapa. Ushindi wa tatu mtarudisha chata la "MANCHESTER UNITED HATUSHIKIKI"
Naona umeshatoka katika coma ya miezi saba Mndengereko
Salama Mkuu!? naona hatimaye umeibuka.
Kwi kwi kwi kwi lol!!! Wameifunga timu ya kata wanajipongeza kwa sana utadhani wamewafunga mabingwa wa dunia.
Salama Mkuu!? naona hatimaye umeibuka.
Wapi nilipokuwa nimezama??
Wacha na na hii Red Cross Team, timu zinajiandaa kwenda kucheza CL .. .. ... .... . .
nilisema tutaheshimiana tu mwaka huu.....ANDER HERRERA ni balaa,sasa tuna scoring midfielder....DALEY BLIND ni kama alikuwepo kwenye hii timu misimu mitano....ROJO[say ROHO] huyu hata alikuwa humuoni uwanjani maanke hana mistake yoyote na yeye utafikiri alikuwepo premier league misimu mitano iliopita.....DI MARIA im speechless tulichokikosa kwa Ronaldo alivyoondoka nakiona kwa DI MARIA.....Falcao ana kazi rahisi sana kumalizia pasi za DI MARIA kama alivyofanya JUAN MATA leo....ROONEY business as usual....VAN PERSIE asije kulaumu mtu kwa mpira huu lazima ainue kiwango chake otherwise benchi linamuhusu.....
kwa kweli si ushindi tu ulionifurahisha ni ile perfomance,timu ndani ya wiki mbili ishajengeka 'diamond' pale katikati inavyofunguka na kufunga ni balaa yaani utafikiri walikuwa wanafanya mazoezi pamoja kwa mwaka mzima.....
najua #WakaangaSumu watasema its just QPR lakini hizi ndio timu ambazo kama timu yako ni nzuri unapiga goli si chini ya tatu na tumewapiga nne pengine zingekuwa hata 8 kama tusingetoa mguu kwenye gas!!!!!!!!
cc: Ntuzu agosti 8 rubaman MosDef Mndengereko DonDonald Belo Nzi pierre fm
Leo kipofu kaona mwezi!" kumfunga QPR ndio kama mmeshachukua ubingwa vile ............. mechi y QPR haina utofauti na zile mechi za pre-season kw hiyo msivimbe vichwa
Grand PA
Hapo sasa na me ndio najiuliza sijui ilikuwa wapi maana kama ni mafuriko ni kitambo sana hatujayashuhudia hapa nchini.
Hahahaha mtabadilisha maneno sana this time,we are looking forward to our next match.
nilisema tutaheshimiana tu mwaka huu.....ANDER HERRERA ni balaa,sasa tuna scoring midfielder....DALEY BLIND ni kama alikuwepo kwenye hii timu misimu mitano....ROJO[say ROHO] huyu hata alikuwa humuoni uwanjani maanke hana mistake yoyote na yeye utafikiri alikuwepo premier league misimu mitano iliopita.....DI MARIA im speechless tulichokikosa kwa Ronaldo alivyoondoka nakiona kwa DI MARIA.....Falcao ana kazi rahisi sana kumalizia pasi za DI MARIA kama alivyofanya JUAN MATA leo....ROONEY business as usual....VAN PERSIE asije kulaumu mtu kwa mpira huu lazima ainue kiwango chake otherwise benchi linamuhusu.....
kwa kweli si ushindi tu ulionifurahisha ni ile perfomance,timu ndani ya wiki mbili ishajengeka 'diamond' pale katikati inavyofunguka na kufunga ni balaa yaani utafikiri walikuwa wanafanya mazoezi pamoja kwa mwaka mzima.....
najua #WakaangaSumu watasema its just QPR lakini hizi ndio timu ambazo kama timu yako ni nzuri unapiga goli si chini ya tatu na tumewapiga nne pengine zingekuwa hata 8 kama tusingetoa mguu kwenye gas!!!!!!!!
cc: Ntuzu agosti 8 rubaman MosDef Mndengereko DonDonald Belo Nzi pierre fm