Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,786
- 9,603
Spurs anapelekewa Moto😆😆
dkk67 spurs 0-3 Brentford
naipenda EPL
dkk67 spurs 0-3 Brentford
naipenda EPL
Timu kubwa kuliko uwezo wao.Ila viongozi wa Manchester United hawana akili
tieleimans wakat Leicester wanashuka daraja alikuwa free agents Manchester akagoma kumsajili bure akaenda Aston Villa
wameenda wamepigwa e40 million chezaji zito
akiwa aston Villa kazi chafu alikuwa anafanyiwa na onana
huyo Santos Hadi anatia huruma 😁
Hv n jambo gani lilitokea mpaka spurs akaitwa n mmoja wa big six.?Spurs anapelekewa Moto😆😆
dkk67 spurs 0-3 Brentford
naipenda EPL
Walicheza fainal uefa walikuwa wa Moto chini ya pochetinoHv n jambo gani lilitokea mpaka spurs akaitwa n mmoja wa big six.?
Ah fainali uefa c ya juzi tuu hapa dhidi ya liver au?Walicheza fainal uefa walikuwa wa Moto chini ya pochetino
Unadai ni ngumu kisha unasema kwenye game zote hizo wa kuwasumbua ni mmoja.Hapo atasumbua man city kdg
Lkn mkuu EPL always ni ngumu
Msituseme mkamaliza
Timu haina haraka, Timu za Aina Ile huhitaji kuwa na Top quality wengi ili uwafunge, inahitaji tactics za kufanya timu itembeze mpira Kwa haraka maana kama ni kucheza kwenye tight space United ina baadhi ya wachezaji wanaoweza kucheza hivyo,...Sio kwamba Hana uwezo wa kuzifungua team za low block Bali Hana Quality players wakufanya hivyo hivi mkuu ukimtoa Mbeumo una nani pale mbele wa maana
Brother nasikitika kusema uelewa wako kwenye nyanja ya football ni mdogo sana.We kubali tu striker wenu hamna kitu usione aibu wewe ujiulizi kwanini kila kocha akija huyu ni wapili Sesko hana uhakika wa kuanza tafakari hili
Katika hizo mechi nane watashinda 3 tu
Mkuu Benjamin Sesko msimu wake wa mwisho RB Leipzig kacheza mechi 33 goals 13 na Assist 5 na ndio msimu wake Bora ana takwimu kama hizi tena ligi nyepesi kama Germany ambako wakina Timo Werner, Christopher Nkuku wametoka na takwimu Bora mara dufu ya Sesko na wamekuja England na wamefeli. Scouting yenu imeyumba kwenye kuselect striker mzuri, haya kwenye msimu wakewa Kwanza Man United kacheza mechi 30 kafunga goals 11 assist 1 kwa hizi takwimu zake huyu striker ana majabu gani? Kazidiwa hadi Danny Welbeck mwenye miaka 35 ambaye kafunga goals 13 Assist 1Brother nasikitika kusema uelewa wako kwenye nyanja ya football ni mdogo sana.
🤣🤣🤣 Hakuna rangi tutaacha kuona, kweli Manjesta inachekesha kama sio timu yako.Flano ligi imeanza mkuu....ULI relax sana mda wa makasiriko umerudi....Manunu mpk mwzi wa 12 ndo tutajua kama mnagonbea top 4 au mnagonbea top 10
🤣🤣🤣 Hakuna rangi tutaacha kuona, kweli Manjesta inachekesha kama sio timu yako.Flano ligi imeanza mkuu....ULI relax sana mda wa makasiriko umerudi....Manunu mpk mwzi wa 12 ndo tutajua kama mnagonbea top 4 au mnagonbea top 10
ulIkuwa sahihi mkuu na wamenikosha sana, sema nikikumbuka hatuna Backup ya LB na hii Stricking Force yetu ya Sèsko na JZ naona Bado hari ni Tete sema naona Balde Barca wanamwachia sijajua Dogo anashida gani tusije kubeba kiraka.
Le Captein Maguire anamkaba mwenzake Badara ya Adui 😆 huu mzigo sijui utatuacha siku Gani.Keeper tunae mzuri ila defence ni taka taka aiseee