Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiki kichaka kinawaka moto mapem kabla hata ya ukame haujaanza..
Amn beki, mbaya zaidi zote yani.
Kishaanza kuwaka na wekeend bado mbichi
 

Attachments

  • FB_IMG_1787414623665.jpg
    FB_IMG_1787414623665.jpg
    50.7 KB · Views: 1
Flano ligi imeanza mkuu....ULI relax sana mda wa makasiriko umerudi....Manunu mpk mwzi wa 12 ndo tutajua kama mnagonbea top 4 au mnagonbea top 10
 
Kama Carrick ndio mpira wake ataenda nao huu huu basi ataangusha alama nyingi Sana and probably atatimuliwa mapema, maana timu zitakuwa zinakuja na low block tu maana Kocha Hana uwezo wa kuzifungua timu za Aina hii ni Hadi Bruno aamke vizuri. United itashinda mechi kubwa coz huwa inaingia kama second team inasubiri kupiga kaunta.
Sio kwamba Hana uwezo wa kuzifungua team za low block Bali Hana Quality players wakufanya hivyo hivi mkuu ukimtoa Mbeumo una nani pale mbele wa maana
 
Bora umejua kuwa mwanzo wa kucheza ndio mwanzo wa matatizo.

So yeah, we'll be there to hate watching you.
Wewe hata kama haujacheza tuliwaambia hamna kikosi cha maana baada ya kugongwa akili ndio imewakaa sawa Chelsea mkuu ipo vizuri mkuu
 
Wewe hata kama haujacheza tuliwaambia hamna kikosi cha maana baada ya kugongwa akili ndio imewakaa sawa Chelsea mkuu ipo vizuri mkuu
Kikosi tunacho ni basi tu leo wachezaji wamekuwa wazito.

Waliichukulia game kawaida sana wakati machalii wao walijiandaa kama fainali.

Saizi huwezi kunielewa ila huko mbeleni tutaelewana.
 
Duuuh kama tathimini ya mpira inafanywa hivi basi ni hatari mzee...mechi moja imwondolee ubora Carrick😆😆😆
Mkuu tatizo lenu mashabiki mpo serious kuliko team yenu shida inaanzia hapo 🤣 Tieleman mmemsajili maji ya jioni, Santos alikuwa hapati namba team yetu kwanu Kawa starter na mapambio kibao, Baleba injury prone haiwezi kucheza mechi 4 mfululizo bila injury na akipata injury anakaa muda mrefu alafu mmetoa pound 65m dah! Kule mbele hamna striker wa maana striker mliomsajili kwa pesa nyingi Sesko anakaa benchi huyu ni Kocha wa pili anampiga benchi alafu mkiitwa manyumbu wanaona kama tunawanyanyapaa.
 
Ukweli ni kwamba nyie mna team ya kawaida hampo kwenye level ya Arsenal, Chelsea, Man City, Liverpool hata Spurs mchezaji aliyekuwa anakaa benchi kwetu Santos nyie ndio first eleven starter kwa style hiyo unashindana vipi
Huo ukweli hawataki kuukubali,ile midfield ni kama wanafanya mzaha

Teleman bila mpira ni abiria ,Santos mzito, Baleba injury na alifanya vzr misimu miwili nyuma

Angalia performance zake hapa , 👇
HQE_T8KXEAAkkdP.jpg


CBs zao kina heaven na Yoro, maana Maguire na Lisandro akiumia mmoja tu kazi wanayo
 
Kikosi tunacho ni basi tu leo wachezaji wamekuwa wazito.

Waliichukulia game kawaida sana wakati machalii wao walijiandaa kama fainali.

Saizi huwezi kunielewa ila huko mbeleni tutaelewana.
Mpaka Leo mnamtegemea Luke shaw seriously? Hamna striker wa maana, hivi kweli ukajitapa una beki wa maana yule Maguire hawezi kupata namba timu yoyote ya Top 6, Tieleman maji ya jioni, Baleba injury prone, Santos alikuwa hapati namba Chelsea kwenu ni tegemezi nyie mnachojua ni kukamia team kubwa kwasababu mnakuwa second club
 
Tieleimans yule atakuwa na uzito tani 5.
Ila viongozi wa Manchester United hawana akili

tieleimans wakat Leicester wanashuka daraja alikuwa free agents Manchester akagoma kumsajili bure akaenda Aston Villa

wameenda wamepigwa e40 million chezaji zito

akiwa aston Villa kazi chafu alikuwa anafanyiwa na onana

huyo Santos Hadi anatia huruma 😁
 
Back
Top Bottom