Kishaanza kuwaka na wekeend bado mbichiHiki kichaka kinawaka moto mapem kabla hata ya ukame haujaanza..
Amn beki, mbaya zaidi zote yani.
Chelsea msimu huu tupo moto tutawaonesha maana ya kufanya Usajili mzuriHuyo ni wa kumuacha tu.
Ameamua kutumia matatizo yetu kama furaha ya kumfanya asahau matatizo yake.
Hawa jamaa ni wazuri sana kwny kuota ndoto za mchana🤠🤠....mechi ya kwanza tyri wanna GD ya negative.....wamebutuliwa kwlikwli leoKwa hiyo ndoto yenu ya kuwa Invincibles kama sisi 2004 imekatishwa leo leo tu?..
Sio kwamba Hana uwezo wa kuzifungua team za low block Bali Hana Quality players wakufanya hivyo hivi mkuu ukimtoa Mbeumo una nani pale mbele wa maanaKama Carrick ndio mpira wake ataenda nao huu huu basi ataangusha alama nyingi Sana and probably atatimuliwa mapema, maana timu zitakuwa zinakuja na low block tu maana Kocha Hana uwezo wa kuzifungua timu za Aina hii ni Hadi Bruno aamke vizuri. United itashinda mechi kubwa coz huwa inaingia kama second team inasubiri kupiga kaunta.
Wewe hata kama haujacheza tuliwaambia hamna kikosi cha maana baada ya kugongwa akili ndio imewakaa sawa Chelsea mkuu ipo vizuri mkuuBora umejua kuwa mwanzo wa kucheza ndio mwanzo wa matatizo.
So yeah, we'll be there to hate watching you.
Kikosi tunacho ni basi tu leo wachezaji wamekuwa wazito.Wewe hata kama haujacheza tuliwaambia hamna kikosi cha maana baada ya kugongwa akili ndio imewakaa sawa Chelsea mkuu ipo vizuri mkuu
Mkuu tatizo lenu mashabiki mpo serious kuliko team yenu shida inaanzia hapo 🤣 Tieleman mmemsajili maji ya jioni, Santos alikuwa hapati namba team yetu kwanu Kawa starter na mapambio kibao, Baleba injury prone haiwezi kucheza mechi 4 mfululizo bila injury na akipata injury anakaa muda mrefu alafu mmetoa pound 65m dah! Kule mbele hamna striker wa maana striker mliomsajili kwa pesa nyingi Sesko anakaa benchi huyu ni Kocha wa pili anampiga benchi alafu mkiitwa manyumbu wanaona kama tunawanyanyapaa.Duuuh kama tathimini ya mpira inafanywa hivi basi ni hatari mzee...mechi moja imwondolee ubora Carrick😆😆😆
Ongeza sauti wasikieMtakuja kunielewa tu
Kipindi cha tapeli TEN hag mlinielewa
Teleman ,Santos na Baleba sio midfield ya kupambania Mataji
Hiyo ni midfield ya level za kina Everton
Huo ukweli hawataki kuukubali,ile midfield ni kama wanafanya mzahaUkweli ni kwamba nyie mna team ya kawaida hampo kwenye level ya Arsenal, Chelsea, Man City, Liverpool hata Spurs mchezaji aliyekuwa anakaa benchi kwetu Santos nyie ndio first eleven starter kwa style hiyo unashindana vipi
muda tulishawapa pre seasonGame moja tuu mkuu tuwape mda
Si bora Mimi sishiriki kabisa kuliko wewe unaenda kutia aibu huko unatolewa hatua za group stageUwezo pekee mlionao wa kugawa, ni kugawa kiwanja kwa Shakhtar Donetsk.
Baada ya hapo
View attachment 3655106
We kubali tu striker wenu hamna kitu usione aibu wewe ujiulizi kwanini kila kocha akija huyu ni wapili Sesko hana uhakika wa kuanza tafakari hiliSesko msimu jana alizidiwa magoli machache sana na streka la magoli lililotoka sporting, Acha kula ugali mwingi mkuu.
Mpaka Leo mnamtegemea Luke shaw seriously? Hamna striker wa maana, hivi kweli ukajitapa una beki wa maana yule Maguire hawezi kupata namba timu yoyote ya Top 6, Tieleman maji ya jioni, Baleba injury prone, Santos alikuwa hapati namba Chelsea kwenu ni tegemezi nyie mnachojua ni kukamia team kubwa kwasababu mnakuwa second clubKikosi tunacho ni basi tu leo wachezaji wamekuwa wazito.
Waliichukulia game kawaida sana wakati machalii wao walijiandaa kama fainali.
Saizi huwezi kunielewa ila huko mbeleni tutaelewana.
Hii 500k yangu ningeila tu. Hili timu la hovyo sana.Pira haramu mkuu! Daah pole mzee
Tieleimans yule atakuwa na uzito tani 5.Santos na tileimans km wachezaji wa ligi ya ushelisheli😁
Ila viongozi wa Manchester United hawana akiliTieleimans yule atakuwa na uzito tani 5.