Hivi mkuu, unaweza kutuwekea hizo records za kuhatarisha au kushtua sana alizopata Baleba kwenye soka ?Ni kweli ameprove PL lakini shida ya baleba siyo kiwango, shida aina ya injury aliyonayo. Baleba anaweza asiwe na muendelezo wa fitness kwasababu ya majeraha, na hii itachangia sana kushusha kiwango chake. Mfano angalia De light na mazrawi, walikuwa na unjury record mbaya na kweli wamekuja utd tunaona kinachoendelea, siyo wachezaji wabaya ila hawatupi muendelezo wa mechi.
Nimesema kone kwasababu, kwanza siyo wachezaji wote waliosajiliwa kutoka Serie A walifeli, correction pogba hakudrop, ila overall perfomance ya timu ilikuwa mbovu na jinsi pogba alivyokuwa anatumiwa uwanjani, kone naye ameshaprove kwenye kila kitu, angsajiliwa utd angefanikiwa tu kwa muundo wa timu wa sasa.
Anyway hata mimi naomba majeraha yasimuandame huko Utd.
Kwa ninavyojua mimi, siku nyingi kabisa amekuwa bench sababu ya injury ni approximately siku 30 hivi.