Digitaldreamer
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 469
- 594
Acha basi 😂😂Sitaibetia Man u. Mpaka wacheze michezo 5 na washinde consistence
Acha basi 😂😂Sitaibetia Man u. Mpaka wacheze michezo 5 na washinde consistence
Kumbe ukweli mlikuwa mnaujua kwanini mlikuwa mnapiga makeleleWell, tumerudi kwenye default setting.
Kama Ole wa interim na Ole wa kibarua cha kudumu tu.
Kwa kweli nampongeza sana aliowapa jina la manyumbuKuna huyu nyumbu alisema km Carrick angeanza msimu angechukua ubingwa kwa fact kwamba tangu alipofukuzwa Amorim, Carrick ndo kocha alieongoza kwa points! 😂
Haya tunaona ameanza msimu wake! 😂
Huu ukweli hawataki kukubaliMkuu kubalini mna kikosi cha kawaida Sesko mmemsajili takwimu zake ni ndogo tena katokea ligi nyepesi, Santos kwetu namba alikuwa hapati kwenu kaja kuwa starter, Tieleman maji ya jioni, Baleba injury prone, mpaka Leo kweli mnamtegemea Shaw serious
Mtoa-hate sana ila Chelsea tutagawa kipigo kwa kila mtu mbele yetu 😎Bora umejua kuwa mwanzo wa kucheza ndio mwanzo wa matatizo.
So yeah, we'll be there to hate watching you.
Uwezo pekee mlionao wa kugawa, ni kugawa kiwanja kwa Shakhtar Donetsk.Mtoa-hate sana ila Chelsea tutagawa kipigo kwa kila mtu mbele yetu 😎
Chagua mechi mtakazoshinda hapoGame za mchana Huwa ni ngumu always
Ngonja tuone game nne zijazo
Kipindi man u wanashinda carrick akiwa interim coach ulikuwa unaongea haya unayoyaongea? Carrick amefungwa mechi ya kwanza ya ligi, inaonekana ameshapoteza mechi 20.Mkuu Mashabiki wao wapo serious kuliko wachezaji wao shida inaanzia hapo 🤣 Tieleman wamemsajili maji ya jioni, Santos alikuwa hapati namba team yetu kwako Kawa starter na mapambio kibao, Baleba injury prone haiwezi kucheza mechi 4 mfululizo bila injury na alipata injury anakaa muda mrefu alafu wametoa pound 65m dah! Kule mbele hawana striker wa maana striker waliomsajili kwa pesa nyingi Sesko anakaa benchi huyu Kocha wa pili anampiga benchi alafu wakiitwa manyumbu wanaona kama wamenyanyaswa
Sesko msimu jana alizidiwa magoli machache sana na streka la magoli lililotoka sporting, Acha kula ugali mwingi mkuu.Mkuu kubalini mna kikosi cha kawaida Sesko mmemsajili takwimu zake ni ndogo tena katokea ligi nyepesi, Santos kwetu namba alikuwa hapati kwenu kaja kuwa starter, Tieleman maji ya jioni, Baleba injury prone, mpaka Leo kweli mnamtegemea Shaw serious
Ukweli ni kwamba nyie mna team ya kawaida hampo kwenye level ya Arsenal, Chelsea, Man City, Liverpool hata Spurs mchezaji aliyekuwa anakaa benchi kwetu Santos nyie ndio first eleven starter kwa style hiyo unashindana vipiNilichogundua wengi wao wanapoza machungu ya kupigwa msimu uliopita kwahyo kuanza kwa kufungwa msimu huu ni kama wanalipiza kisasi cha machingu yao...walimaliza msimu wakiwa na maumivu ya kufungwa na man utd
Pole sana mkuu500k yangu dah
Kishaanza kuwaka na wekeend bado mbichiHiki kichaka kinawaka moto mapem kabla hata ya ukame haujaanza..
Amn beki, mbaya zaidi zote yani.