Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

H
Kuna huyu nyumbu alisema km Carrick angeanza msimu angechukua ubingwa kwa fact kwamba tangu alipofukuzwa Amorim, Carrick ndo kocha alieongoza kwa points! 😂

Haya tunaona ameanza msimu wake! 😂
Wewe ni chizi kweli na mpira hujui yaani mechi moja ndio unaanza kupiga kelele humu jukwaani acha ujinga. Hamkuongoza ligi msimu uliopita kwa point 12 baadae mkaanza kuomba dua timu zingine zipoteze?
 
Back
Top Bottom