Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama Carrick ndio mpira wake ataenda nao huu huu basi ataangusha alama nyingi Sana and probably atatimuliwa mapema, maana timu zitakuwa zinakuja na low block tu maana Kocha Hana uwezo wa kuzifungua timu za Aina hii ni Hadi Bruno aamke vizuri. United itashinda mechi kubwa coz huwa inaingia kama second team inasubiri kupiga kaunta.
 
Hii ni moment ambayo nilihisi tuna Mbeumo wawili uwanjani
FB_IMG_1787406432363.jpg
 
Nassoro Katuga naona utetezi wako.

So kwa mujibu wa utetezi wako unaiambia mahakama kwamba hili ni tukio la Messi akiua mbu aliyetua juu ya kichwa cha mpinzani wake?

View attachment 3655068
Mtukufu hakimu ukiangalia angle na speed ya mkono....

Na kwa kuzingatia kofi kali halipigwi na mkono wa kushoto...

Nakubaliana na mshitakiwa kwamba messi alikuwa anaua mbu kwa mpinzani wake...
 
Mpira hautaki feelings. Walidai wamesajili viungo wazuri kuliko Arsenal aliyesajili Bruno.

Hao viungo wazuri dk ya 66 wametolewa nje na mmoja kasababisha faulo iliyozaa goli
Mkuu Mashabiki wao wapo serious kuliko wachezaji wao shida inaanzia hapo 🤣 Tieleman wamemsajili maji ya jioni, Santos alikuwa hapati namba team yetu kwako Kawa starter na mapambio kibao, Baleba injury prone haiwezi kucheza mechi 4 mfululizo bila injury na alipata injury anakaa muda mrefu alafu wametoa pound 65m dah! Kule mbele hawana striker wa maana striker waliomsajili kwa pesa nyingi Sesko anakaa benchi huyu Kocha wa pili anampiga benchi alafu wakiitwa manyumbu wanaona kama wamenyanyaswa
 
Mnapata nguvu ya kucheka sio kwasababu timu zenu ni bora. Ni kwasababu timu zenu hazijacheza.

Hiyo ni furaha ya muda mfupi, soon mtarudi kwenye hali yenu tuliyowazoea.View attachment 3655087
Nilichogundua wengi wao wanapoza machungu ya kupigwa msimu uliopita kwahyo kuanza kwa kufungwa msimu huu ni kama wanalipiza kisasi cha machingu yao...walimaliza msimu wakiwa na maumivu ya kufungwa na man utd
 
Hii game Carrick kazidiwa mbinu alianza na kikosi cha hovyo kama anafanya majaribio
Mkuu kubalini mna kikosi cha kawaida Sesko mmemsajili takwimu zake ni ndogo tena katokea ligi nyepesi, Santos kwetu namba alikuwa hapati kwenu kaja kuwa starter, Tieleman maji ya jioni, Baleba injury prone, mpaka Leo kweli mnamtegemea Shaw serious
 
Back
Top Bottom