Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hua unashabikia timu za ajabu ajabu kila mara. Bado nakusubiri Madrid ianze kupigwa miti
When things get overwhelming sisi tunakubali kuwa tumeshindwa.

Meanwhile kuna mtu alidiriki kuingilia majukumu ya watu ili ajiongezee rating aonekane alikuwa na bidii na kujituma.
FB_IMG_1787400296990.jpg
 
Tumia basi akili yako vizuri, toka Carrick achukue timu kuna kocha yeyote aliyemzidi point EPL? Sasa hiyo ishara yake nini?
Kuna huyu nyumbu alisema km Carrick angeanza msimu angechukua ubingwa kwa fact kwamba tangu alipofukuzwa Amorim, Carrick ndo kocha alieongoza kwa points! 😂

Haya tunaona ameanza msimu wake! 😂
 
Back
Top Bottom