Mkuu ulisema haumtaki garnacho...🤣🤣🤣 Kaja kinguvu kwenu...kawang'ang'ania kama kupeKm madunduka mlivyokuwa mnamtukana mount😁 OllaChuga Oc jamaa watatuongezea hela kweli Hawa maana mount ameshakuwa pancha?
Embu soma tena sehem unakopatia taarifa za timu ..Yani unaacha kutafta kipa mdogo wa maana unaenda kwa Dibu?? Ivi hii Manjesta kweli iko serious binafsi Dibu na Onana namchukua Onana
Yes ni nzuri sana nimependa ..pia nimependa staili ya timu sijui kama wametoa hela ndani ya klabu, unauza , hela uliyopata unanunua...huyo sancho hauziki??? Yan Kuna wachezaji wanatakiwa wasirudi tena hio timu bumbavu ....ila yule .pumbavu kipara alaaniwe...aliwaharibu scot na greenwood , akaleta makapi yake..na greenowood wkaaleta mambo ya uingereza kubaka kitu Gani bwana wale walikua wanajuana mbona saivi wako pamoja...felakuti lenne lammens tayari huko nimeupenda huu usajili ukizingatia umri wake pia bado ni mdogo miaka 23. Bora wameachana na huyo martinez ukizingatia umri umeenda.
Ndio hivyo kikubwa tuendelee kutengeneza timu na pia amorim apewe tu mda na tuache kusikiliza media maana zinaleta presha kubwa sana na kuharibu timu kisaikolojia.Yes ni nzuri sana nimependa ..pia nimependa staili ya timu sijui kama wametoa hela ndani ya klabu, unauza , hela uliyopata unanunua...huyo sancho hauziki??? Yan Kuna wachezaji wanatakiwa wasirudi tena hio timu bumbavu ....ila yule .pumbavu kipara alaaniwe...aliwaharibu scot na greenwood , akaleta makapi yake..na greenowood wkaaleta mambo ya uingereza kubaka kitu Gani bwana wale walikua wanajuana mbona saivi wako pamoja...
YUle martinez anafaa mdau maana ana uzoefu na eplUsajili wa Lammens unatupa uhakika wa kumalizia big 5,hapo leta Baleba tuchukue kabisa IPielo😁
Amorin yupo sana united...yaan nahisi madirisha YAJAYO tutasajili sana midfielders na wing backs....YUle martinez anafaa mdau maana ana uzoefu na epl
Huyu lammens mpaka aje azoeee ligi tutakua tushamaliza matusi yote humu
Ila kwa huyo florian wirtz wamepigwa kweupe kabisa.Liverpool have spent over €500m in this transfer window. That’s more than Sir Alex Ferguson spent in his entire career at Man United
~AH
Huyu Rangnick na Van Gaal ndio watu ambao tungewapa muda zaidi, tungeona matokeo chanya amapema zaidi. Ila tatizo kubwa lilikuwa kwa Ed na Murtough kwenye kufanya maamuzi ya sajili kibiashara bila kuzingatia kiufundi.Ralf Rangnick on Manchester United: "I pushed for Luis Díaz in January but the club said no. Before leaving, I still cared & gave John Murtough a list of Raya, Timber, Caicedo, Isak. They chose to follow Ten Hag instead. One of the main reasons I left was the club stopped listening to me.”
He was the one who publicly came out and said the club needed an 'open heart surgery'. Today, we can still how big of a job left to be done despite signing one of the best attackers from the Premier League we are still struggling. The surgery goes way back to the top. The viruses are still there and are still ruining our club. Just like we have been crying for a goalkeeper for months now and still the board thinks we have what it takes to play in this league is a total joke. We need football people to run this club!