Shida nyingine ya kitechnical nahisi ni allypipi pia 🤣🤣Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,
Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.
Fikiria City hii mbovu hivi imetugalagaza hivi, city wanavyocheza leo ni hovyo hovyo . Gurdiola nahisi hata yeye leo atashangaa amepataje goli zote hizi jinsi city ilivyo taabani hivi.Dakika bado zipo tutafute hata goal 2
Weekend ijayo, mtatufunga pia, timu yetu yakawaida munoo. Tuko hoi, sijui tunaelekea wapi.Munashindwa kuifunga manjesta shity mutaiwezw Chelsea ama Brentford kweli???
Sema hili Mbeumo hapa ni uwekezaji mzuri.Fikiria City hii mbovu hivi imetugalagaza hivi, city wanavyocheza leo ni hovyo hovyo . Gurdiola nahisi hata yeye leo atashangaa amepataje goli zote hizi jinsi city ilivyo taabani hivi.
Aanhaa utashangaa munatukazia halafu sisi tutaonekana wabovu😂😂😂Weekend ijayo, mtatufunga pia, timu yetu yakawaida munoo. Tuko hoi, sijui tunaelekea wapi.
Labda wasajiliwe ma-alien hapoTimu yetu kwa sasa ni level moja na Burnley, Fulham, Nottingham forest, Brighton, Brentford hatukaribii kabisa level za Liverpool, Arsenal, Tottenham, Chelsea, hivi mfano tungevunja kikosi chote, tukaanza na moja kabisaa inawezekana hadi nitazeeka hii timu bado haijajipata.
HahahahahaTimu yetu kwa sasa ni level moja na Burnley, Fulham, Nottingham forest, Brighton, Brentford hatukaribii kabisa level za Liverpool, Arsenal, Tottenham, Chelsea, hivi mfano tungevunja kikosi chote, tukaanza na moja kabisaa inawezekana hadi nitazeeka hii timu bado haijajipata.
niliwahi sema humu ......Siku ambayo Amorim atatambua timu aliyonayo haiwezi kucheza mfumo anaotaka nadhani atakuwa tayari amefukuzwa.
Na kwa hii nafasi anayomchezesha Bruno, muda sio mrefu Bruno ataanza kuonekana mzigo na ataenda timu nyingine itakayoweza kumtumia vizuri katika nafasi yake ya CAM na atauwasha moto kama Scott.
Labda unatania, timu nzuri? Kwa wachezaji wapi ,hawa akina mboemo, Amad, Mainoo n.kMna timu nzuri toka mfate ushauri wangu wa kumuuza Onana binafsi naona positive changes. Bado kidogo timu yenu I click
Alikuwa moja wapo ya tatizo, ukiwa na matatizo mengi tena kila mahali ukatatua tatizo moja, haisadii kitu.Hahahahaha
Mkuu mbona umekata tamaa hivyo?
Si mlisema tatizo ni Onana?