Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mna uhakika huyu ni legend wa bayern
 

Attachments

  • 1757786889866.jpg
    1757786889866.jpg
    271.8 KB · Views: 15
Ni siku nyingine tena tamu kabisa tunaenda kuwashuhudia vijana wa sir barobaro boys dhidi ya vijana wa mzee kipara.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Man City 1 vs Manchester united 3

watapigwa sana wale

GGMU 👹
1757860549060.jpg
 
Ni siku nyingine tena tamu kabisa tunaenda kuwashuhudia vijana wa sir barobaro boys dhidi ya vijana wa mzee kipara.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Man City 1 vs Manchester united 3

watapigwa sana wale

GGMU 👹 View attachment 3472057
Mkuu ungekausha ili tujionee kama na leo mngeshinda au la!
 
Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,

Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.
 
Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,

Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.
Ukweli mchungu
 
Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,

Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.
Shida nyingine ya kitechnical nahisi ni allypipi pia 🤣🤣
 
Timu yetu kwa sasa ni level moja na Burnley, Fulham, Nottingham forest, Brighton, Brentford hatukaribii kabisa level za Liverpool, Arsenal, Tottenham, Chelsea, hivi mfano tungevunja kikosi chote, tukaanza na moja kabisaa inawezekana hadi nitazeeka hii timu bado haijajipata.
 
Back
Top Bottom