Jamaa ni shabiki kindaki ndaki wa Manchester na hakuwahi ficha hili hata alipokuwa huko Bayern.Mna uhakika huyu ni legend wa bayern
Sawa bibi chaudeleMkipigwa chini ya goli 3 naacha kuingia jf nyumbu ze zezeta fc
Mkuu ungekausha ili tujionee kama na leo mngeshinda au la!Ni siku nyingine tena tamu kabisa tunaenda kuwashuhudia vijana wa sir barobaro boys dhidi ya vijana wa mzee kipara.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man City 1 vs Manchester united 3
watapigwa sana wale
GGMU 👹 View attachment 3472057
Tayar umeshauza ramani ya vita.Ni siku nyingine tena tamu kabisa tunaenda kuwashuhudia vijana wa sir barobaro boys dhidi ya vijana wa mzee kipara.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man City 1 vs Manchester united 3
watapigwa sana wale
GGMU 👹 View attachment 3472057
Tatizo limeanzia hapa😂Ni siku nyingine tena tamu kabisa tunaenda kuwashuhudia vijana wa sir barobaro boys dhidi ya vijana wa mzee kipara.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man City 1 vs Manchester united 3
watapigwa sana wale
GGMU 👹 View attachment 3472057
Ukweli mchunguKwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,
Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.
Shida nyingine ya kitechnical nahisi ni allypipi pia 🤣🤣Kwa sasa hivi, sisi ni timu ya kawaida sana, tumebakisha jina tu basi tupotee mazima,
Wachezaji kama Amad, Mazeoue, Ugarte,Yolo, Dorugu, De Light, Sesko mbeumo si wakucheza Man united, ni wachezaji wa Daraja la chini kabisa, hatuwezi kuachieve chochote na wachezaji hawa, tunasikitisha na hatujui ni lini tutajipata tena.