Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anatumia Cunha kocha anamuingiza Zikzee wakati Sesko yuko bench,Dalot ni kati ya wachezaji wasio na sofa ya kuchezea United
Dalot baada ya kumsema tu akaanza kuwa wa moto, amecheza vizuri sana leo.

Kocha hamtendei haki Sesko.
 
Dalot baada ya kumsema tu akaanza kuwa wa moto, amecheza vizuri sana leo.

Kocha hamtendei haki Sesko.
Sio hamtendei haki sesko anamuondolea pressure kumbuka Sesko sio proven striker na ni mchezaji mdogo, msimu wake Bora wa bundesliga kafunga goal 13 tu Tena kwenye ligi nyepesi Kama hiyo.Mahitaji ya ligi kuu ya EPL inahitaji energy haswa so anamtengeneze mazingira ya taratibu ya kuingia kwenye kikosi
 
Bruno Fernandes scores from the penalty spot!! Man Utd 3-2 Burnley

1756573687532.gif
 
Kama vile unafundisha hesabu ambapo watakaoelewa ni wachache Sana wengi watafeli au kuelewa baadae, hicho ndicho kinachowakumba wachezaji wetu.

Changamoto nyingine iliyoibuka ni kwamba tukianza kufunga goli Sisi basi uwezekano wa kurudi ni mkubwa, tukifunga wachezaji wanaanza kucheza wanavyojua wao halafu baadae kidogo wanaanza kurudi muda ukiwa umekwenda, kama mtu mwenye wenge vile huwa sometimes zinakuja sometimes haziji. Changamoto nyingine na ambayo ipo clear kabisa Kwa Kipindi kirefu ni Sisi kufikika kirahisi sana na hili solution ilishazungumzwa.

Tatizo si mfumo.
 
Tutasajili viungo na wing backs kweny madirisha YAJAYO...lkn kocha awe makini kwenye squad selection.
Binafsi naona maino anafaa kuanzisha first 11
 
Ukiangalia vizuri mechi hizi 3 zilizopita, mbali na mapungufu yetu mengine ila makipa wetu wanatugharimu sana. Sio Onana wala Bayindir.
Tumpatieni Amorin kiungo wa kukaba na Kipa wa kueleweka tuanze kumuhukumu.
 
Timu yetu haijaimarika vya kutosha kama top contenders ila media zinatuumiza zaidi kwa kukuza madhaifu ya kawaida yaonekane makubwa kivile.
Nadhani kocha anatakiwa awekeze kuijenga saikolojia ya wachezaji wake zaidi kuliko wakati wowote ule.
 
If you watched the Burnley game closely, you’ll agree with me that Diogo Dalot was far more effective than the passive Dorgu in that left wing-back role.

Dalot had a mixed game, but one thing is clear, he added real value down the left. He was United’s main outlet, beating Kyle Walker 1v1, driving forward with confidence, and grabbing a big assist with solid wing play.

The numbers back it up: he won all his tackles and aerial duels, touched the ball over 70 times, created chances, and became the first United player to register an assist in the league this season.

While Zirkzee worked well as a link-up player, Dalot brought energy and purpose down the flank. Simple truth is Dalot didn’t just play the role, he made it his own. ❤️🔥
 
Ukiangalia vizuri mechi hizi 3 zilizopita, mbali na mapungufu yetu mengine ila makipa wetu wanatugharimu sana. Sio Onana wala Bayindir.
Tumpatieni Amorin kiungo wa kukaba na Kipa wa kueleweka tuanze kumuhukumu.
Ugarte mvunja kuni sio kiungo wa kukaba tena?
 
Back
Top Bottom