Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aendelee tu kusajili wachezaji wanofit kwenye mfumo wake mbona mambo yatakaa sawa
Naona Mbeumo , Amadi, maino , wanajitahidi....

Ila huu mfumo wake wa 3-4-3 ....naona kama unawasumbua wachezaji .....yaani hawaelewi sijui wanachotakiwa kufanya kwenye huo mfumo ama Kocha mkali Sana .....or vipi....
Mfano mpira unapoanza kwa wapinzani mbele wanakuwa watatu ......Timu zinazocheza back 4 inakua ngumu kuwakaba kwa kupress sababu wanabaki na mtu Mmoja....free

Tukianza sisi mpira kutoka pia inakua shida kweli kweli .....tukipresiwa.....

Huu mfumo wachezaji unawashinda aisee ..,..
 
FURAHA TUPU
 

Attachments

  • 20250830_114841.jpg
    20250830_114841.jpg
    91.5 KB · Views: 9
Ukiacha mou ni kocha gani anaweza himili ile presha ya united wakuu
 
Huyu Kocha hawezi toboa kwa huu mfumo kwa sasa hapa united.....

Anatakiwa a switch kidogo ......sababu Timu inajitafuta ....so Cha kwanza ni kulinda .....
 
Kwajinsi tunavyocheza sioni kabisa Amorim akitoboa huu msimu..

Sesko anahaki ya kukosanraha
Sijui mwalimu anafoka Sana au vipi maana watu hawapo comfortable na BOLI .....plus Bruno wangechukua tu Ile hela ya wale waarabu .....anapoteza mipira Sana ....na mfumo wa huyu Br unataka viungo muwe wasolid hampotezi potezi BOLI... Manutd wangepata vijana wawili swaafi kabisa ....wakakiwasha pale kati.
 
Back
Top Bottom