Km madunduka mlivyokuwa mnamtukana mount😁 OllaChuga Oc jamaa watatuongezea hela kweli Hawa maana mount ameshakuwa pancha?Nyie mambulula wakat yupo Manchester si mlikua mnamtukana
Mkuu ulisema haumtaki garnacho...🤣🤣🤣 Kaja kinguvu kwenu...kawang'ang'ania kama kupeKm madunduka mlivyokuwa mnamtukana mount😁 OllaChuga Oc jamaa watatuongezea hela kweli Hawa maana mount ameshakuwa pancha?
Embu soma tena sehem unakopatia taarifa za timu ..Yani unaacha kutafta kipa mdogo wa maana unaenda kwa Dibu?? Ivi hii Manjesta kweli iko serious binafsi Dibu na Onana namchukua Onana
Yes ni nzuri sana nimependa ..pia nimependa staili ya timu sijui kama wametoa hela ndani ya klabu, unauza , hela uliyopata unanunua...huyo sancho hauziki??? Yan Kuna wachezaji wanatakiwa wasirudi tena hio timu bumbavu ....ila yule .pumbavu kipara alaaniwe...aliwaharibu scot na greenwood , akaleta makapi yake..na greenowood wkaaleta mambo ya uingereza kubaka kitu Gani bwana wale walikua wanajuana mbona saivi wako pamoja...felakuti lenne lammens tayari huko nimeupenda huu usajili ukizingatia umri wake pia bado ni mdogo miaka 23. Bora wameachana na huyo martinez ukizingatia umri umeenda.
Ndio hivyo kikubwa tuendelee kutengeneza timu na pia amorim apewe tu mda na tuache kusikiliza media maana zinaleta presha kubwa sana na kuharibu timu kisaikolojia.Yes ni nzuri sana nimependa ..pia nimependa staili ya timu sijui kama wametoa hela ndani ya klabu, unauza , hela uliyopata unanunua...huyo sancho hauziki??? Yan Kuna wachezaji wanatakiwa wasirudi tena hio timu bumbavu ....ila yule .pumbavu kipara alaaniwe...aliwaharibu scot na greenwood , akaleta makapi yake..na greenowood wkaaleta mambo ya uingereza kubaka kitu Gani bwana wale walikua wanajuana mbona saivi wako pamoja...
YUle martinez anafaa mdau maana ana uzoefu na eplUsajili wa Lammens unatupa uhakika wa kumalizia big 5,hapo leta Baleba tuchukue kabisa IPielo😁
Amorin yupo sana united...yaan nahisi madirisha YAJAYO tutasajili sana midfielders na wing backs....YUle martinez anafaa mdau maana ana uzoefu na epl
Huyu lammens mpaka aje azoeee ligi tutakua tushamaliza matusi yote humu
Ila kwa huyo florian wirtz wamepigwa kweupe kabisa.Liverpool have spent over €500m in this transfer window. That’s more than Sir Alex Ferguson spent in his entire career at Man United
~AH