Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

nyie jamaa mmewapa man utd matumain makubwa sana ila kiukweli hii timu ina shida 3-5 nzito
1 bruno
2 hakuna Dm bora hapo kati ni makida makida tu
3 hakuna chemistry in attack wako wako tu itawachukua muda sana ku settle
4 kipa aisee
5 kocha ni mbishi hataki kuwa flexible kubadili formation itakuja kum cost timu inacheza hairidhishi hata
Hapo kwenye ubishi wa kocha nadhani ndio kitu kitakachomtoa pale united kabla ya Christmas. Timu inatia aibu na huruma kuitazama.

Wachezaji wanajaribu kupeanapeana mipira, wakiona wamekabwa kidogo wanarudishiana mpira nyuma na wanaogopa kwenda mbele. Hakuna mipango, hakuna mbinu za kwenda mbele,
 
Hapana. Huu mfumo ndo wenyewe Sasa.

Huu ndo Conte alibeba EPL 16/17

A stick na mfumo, uta click tuu mbele kwa mbele
Ni kweli tatizo linaweza kuwa sio mfumo ila timu yetu inakosa balance hapa lazima moja kati ua Cuhna au Bruno awe anaanzia bench au Brino asepe af kocha aache kunanzisha Mount huku straiker anaaznzia bench.
 
Aisee hii timu ni mbovu kiseng hata kupiga pass ni nzuri ni shida sijui ilikuwaje mkawa manaisifia siku aliyocheza na arsenal au wale jamaa walijua ni pre season bado
Hiki ni kikundi Cha watu machachari sio timu ya mpira....yule Cunha ni mtu wa Karate na shehe Mbeumo yy ni Mzee wa mizuka😀😀...Sesko ameenda rasmi kuangamiza kipaji chake....Bora angejiendea Nyukesto maskini
 
Hapo kwenye ubishi wa kocha nadhani ndio kitu kitakachomtoa pale united kabla ya Christmas. Timu inatia aibu na huruma kuitazama.

Wachezaji wanajaribu kupeanapeana mipira, wakiona wamekabwa kidogo wanarudishiana mpira nyuma na wanaogopa kwenda mbele. Hakuna mipango, hakuna mbinu za kwenda mbele,
Msimuangushie kocha lawama. Hata huyu Bruno pia ni zaidi ya hasara kwanza leo kawakoseha ushindi. Mechi ya leo ilitakiwa kuleta matumaini kwenu na si vingenevyo
 
Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk.

Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha.

Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu.

Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu.
Sesko ni average player na ligi ya uingereza inahitaji mchezaji ambaye Yuko fiti kwa asimilia 100 ingekuwa ametoka EPL ingekuwa ni rahisi kuadapt mnamuonea bure kocha kwenye hili
 
Hapo mgt watafute kiungo Kwanza kabla ya kipa, kocha amekosa Hadi option ikabidi sasa Bruno na mount wacheze Kati Kati ya uwanja, kuna Post tulisema siku Ile na mechi ya Arsenal ilivyomalizika kuwa hatari ninayoiona ni kwamba siku tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi utaona jinsi hapo Kati tunavyonyanyasika na Leo tumeona sasa basi kuna hizi timu zifuatazo nawatajia Newcastle, Bournemouth, Forest, Liverpool, timu za Aina hii watu wake ni "wangu wangu" hivyo lazima uwe na watu Kati Kati ya uwanja wanaoweza kukimbiza upepo kweli kweli, sasa basi Bruno, Casemiro, Mainoo si miongoni mwa hao wakimbiza upepo hivyo basi lazima ulie machozi, msimuone kocha anainamisha kichwa chini anajua kabisa kmmke hapa sina kiungo pale.

Bruno akicheza Kati timu inakuwa off balance , afadhali inakuja pale wapinzani wanapopoteza mpira hovyo au wakiwa hawatoki Kwa haraka hapo utaona Kati pako vizuri lakini ikishaanza kukimbizana ndo balaa linaibuka maana kama Kati panakuwa out of shape or kuna any misposition basi lazima kule mbele paharibike, si suala la connection tu bali wachezaji kwenye mahala sahihi uwanjani.
 
Amorim anajitafutia matatizo mwenyewe!! Mbinu zake pamoja na kukumbatia wareno wenzake akina Bruni & Dalot zinamfelisha🚮🚮
IMG_7869.jpeg
 
Back
Top Bottom