lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
nyie jamaa mmewapa man utd matumain makubwa sana ila kiukweli hii timu ina shida 3-5 nzito
1 bruno
2 hakuna Dm bora hapo kati ni makida makida tu
3 hakuna chemistry in attack wako wako tu itawachukua muda sana ku settle
4 kipa aisee
5 kocha ni mbishi hataki kuwa flexible kubadili formation itakuja kum cost timu inacheza hairidhishi hata
Hapo kwenye ubishi wa kocha nadhani ndio kitu kitakachomtoa pale united kabla ya Christmas. Timu inatia aibu na huruma kuitazama.
Wachezaji wanajaribu kupeanapeana mipira, wakiona wamekabwa kidogo wanarudishiana mpira nyuma na wanaogopa kwenda mbele. Hakuna mipango, hakuna mbinu za kwenda mbele,
Wachezaji wanajaribu kupeanapeana mipira, wakiona wamekabwa kidogo wanarudishiana mpira nyuma na wanaogopa kwenda mbele. Hakuna mipango, hakuna mbinu za kwenda mbele,