Hapo mgt watafute kiungo Kwanza kabla ya kipa, kocha amekosa Hadi option ikabidi sasa Bruno na mount wacheze Kati Kati ya uwanja, kuna Post tulisema siku Ile na mechi ya Arsenal ilivyomalizika kuwa hatari ninayoiona ni kwamba siku tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi utaona jinsi hapo Kati tunavyonyanyasika na Leo tumeona sasa basi kuna hizi timu zifuatazo nawatajia Newcastle, Bournemouth, Forest, Liverpool, timu za Aina hii watu wake ni "wangu wangu" hivyo lazima uwe na watu Kati Kati ya uwanja wanaoweza kukimbiza upepo kweli kweli, sasa basi Bruno, Casemiro, Mainoo si miongoni mwa hao wakimbiza upepo hivyo basi lazima ulie machozi, msimuone kocha anainamisha kichwa chini anajua kabisa kmmke hapa sina kiungo pale.
Bruno akicheza Kati timu inakuwa off balance , afadhali inakuja pale wapinzani wanapopoteza mpira hovyo au wakiwa hawatoki Kwa haraka hapo utaona Kati pako vizuri lakini ikishaanza kukimbizana ndo balaa linaibuka maana kama Kati panakuwa out of shape or kuna any misposition basi lazima kule mbele paharibike, si suala la connection tu bali wachezaji kwenye mahala sahihi uwanjani.
Bruno akicheza Kati timu inakuwa off balance , afadhali inakuja pale wapinzani wanapopoteza mpira hovyo au wakiwa hawatoki Kwa haraka hapo utaona Kati pako vizuri lakini ikishaanza kukimbizana ndo balaa linaibuka maana kama Kati panakuwa out of shape or kuna any misposition basi lazima kule mbele paharibike, si suala la connection tu bali wachezaji kwenye mahala sahihi uwanjani.

