Ashatia timu jamaa yenu.Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
Fulham 0 vs Manchester united 4
Watapigwa sana wale vijana💪👹👹View attachment 3451398
Haupingwi mkuuNi leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
My prediction
Fulham 0 vs Manchester united 4
Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398
Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk.
Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha.
Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu.
Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu.
Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
My prediction
Fulham 0 vs Manchester united 4
Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398


Daaahhh ndio basi tena allypipi mwenetu kashatupiga kurujuani. Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn