Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoja tusubiri gemu iishe, Hadi sasa halftime Jamaa wametukosakosa kweli kweli, baada ya zile DK 14 za mwanzo naona tukarudi chini hatutishi tena kwenye boksi. Let's wait and see.
 
Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn
Alishawahi kupiga kama Ile Kipindi cha Ten Hag, Bruno ni mchezaji Yuko na emotional Sana, ana temper mbaya Sana ambayo sometimes inatucost kama timu.
 
Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn
Tatizo la Bruno ni moja. Amezidisha kiburi na kujiona bora kuliko wenzake. Hii game ya Man united ina presure kubwa kuliko mechi zingine zote.

Man u wanatakiwa watulize wenge wasicheze kwa kukamia but hii man u bado sana. Na leo msipokuwa makini mnalala na viatu. Fulham wakipata goli tu basi mmeisha mtachezabkwa kupani then wanapata nafasi ya kuwakanda tena. 😂😂😂😂

Mwisho kwakweli huwa nafurahi mnavyoteseka sana. 😂😂😂😂
 
Man u Leo hawana ubunifu kabisa kwenye safu ya ushambuliaji, hawatengenezi nafasi. Hapa hata sesko akiingia itakuwa kazi Bure.
 
1756054726884.jpeg
 
Back
Top Bottom