Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TATIZO NI KOCHA
Game ya leo shida ilikua ni kocha na allypipi
Ndugu yangu allypipi naona leo bahati mbaya air defence system zilimnasa wakati akijitahidi kupenya kwenda kutafuta goli 3 zilizosalia.
tapatalk_1325748601_337x450.jpg
 
Shenzi nyinyi hamjamsikia pole pole?, nendeni ccm mkaunganishwe kwenye li waya muwe mnashinda game zenu kwa wizi au nyinyi ndio wana mtandao nyumbu's. Kwanza amkeni mtoke humu ndani mnatumalizia hewa.
 
Ni kweli tatizo linaweza kuwa sio mfumo ila timu yetu inakosa balance hapa lazima moja kati ua Cuhna au Bruno awe anaanzia bench au Brino asepe af kocha aache kunanzisha Mount huku straiker anaaznzia bench.
Mkuu sijui huwa unaiangalia Mannjesta ipi.

Mbona timu Ina balance fuleshi tuu.

Waulize Arsenal wiki iloisha

Walitufunga, ila chamoto walikiona
 
Back
Top Bottom