Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,593
- 2,398
Arsenal ndio reference yenu? Mtashuka daraja nyumbu nyiePoint moja sio mbaya. Tuzidi kushikamana katika kipindi hiki cha mpito.
All in all, we were better team than Arsenal last weekend
Arsenal ndio reference yenu? Mtashuka daraja nyumbu nyiePoint moja sio mbaya. Tuzidi kushikamana katika kipindi hiki cha mpito.
All in all, we were better team than Arsenal last weekend
Bruno ni arrogantAmorim anajitafutia matatizo mwenyewe!! Mbinu zake pamoja na kukumbatia wareno wenzake akina Bruni & Dalot zinamfelisha🚮🚮View attachment 3451635
Mbona Thomas Frank anatumia back 3 na amepata matokeo mazuri sana vs City, na pia ameweza kuwamudu PSG kwenye super cup japo walipoteza..Bila kutoka kwny back 3 kwenda back 4.
Na viungo wawili hapo kati pamoja na bruno kurudi 10. Amorin hata weza kufaulu united.
Mkuu sijui huwa unaiangalia Mannjesta ipi.Ni kweli tatizo linaweza kuwa sio mfumo ila timu yetu inakosa balance hapa lazima moja kati ua Cuhna au Bruno awe anaanzia bench au Brino asepe af kocha aache kunanzisha Mount huku straiker anaaznzia bench.
Karibu chama la WanaKuna wanafiki humu duniani sijawahi ona![]()






Huyo ni madueke efusiii anawasanifu tu.Arsenal ndio reference yenu? Mtashuka daraja nyumbu nyie
Nyumbu walivyo hamnazo wanajua wewe ni mwenzao hawajashituka hata kuangalia profile.Mkuu sijui huwa unaiangalia Mannjesta ipi.
Mbona timu Ina balance fuleshi tuu.
Waulize Arsenal wiki iloisha
Walitufunga, ila chamoto walikiona
Ruben Amorim joined Manchester United in 2024, following his departure from Sporting
…and his Premier League record has been
29 games played
7 wins
7 draws
15 losses


Kocha la bolu.
Anakuja kwenye team ya makombe anawezaje kuringa mtu Kama Reece James ana UEFA, kaka yake Enzo Fernandez ana kombe la Dunia, Cucurella ana UEFA national league, club bingwa ya dunia n.k mtu Kama Bruno Fernandes ana Nini chakumtuliza dogo au AmorinYule mtoto anajiona kama Messi mtupu vile😀😀...ngoja kaje Chelsea kaanze kuwaringia na nyie....
Chelsea sio team ya kupigwa kijana inajua biashara haiwezi kutoa zaid ya pound 45MArsenyau2004 mbona unawasanau mapema, hautaki turudishe ile pesa yetu tuliyopigwa kwa Mount?
Oyaaa wanangu nina picha ya kocha wa ball Rúben Amorim kipindi bado mdogo amevaa jezi ya Arsenyau timu ya ndoto yake niwawekee humu au nikaushe kwanza?