😃😃😃😃😃😃😃Amorim anajitafutia matatizo mwenyewe!! Mbinu zake pamoja na kukumbatia wareno wenzake akina Bruni & Dalot zinamfelisha🚮🚮View attachment 3451635
Hii timu ni mbovu ajabu![]()


Kesi ishakua ngumu kaka, Amorim kamkuta Garnacho chooni anacheka mpaka ameanguka chini kwa hasira kamfungia komeo kwa nje. Kwani shida ya Amorin na Garnacho ni Nini?Kesi ishakua kubwa kaka, Amorim kamkuta Garnacho chooni anacheka mpaka ameanguka chini kwa hasira kamfungia komeo kwa nje. View attachment 3451657
Yule mtoto anajiona kama Messi mtupu vile😀😀...ngoja kaje Chelsea kaanze kuwaringia na nyie....Kwani shida ya Amorin na Garnacho ni Nini?
Yule mtoto anajiona kama Messi mtupu vile...ngoja kaje Chelsea kaanze kuwaringia na nyie....


Arsenyau2004 mbona unawasanau mapema, hautaki turudishe ile pesa yetu tuliyopigwa kwa Mount?Better Team with how many goals scored??Point moja sio mbaya. Tuzidi kushikamana katika kipindi hiki cha mpito.
All in all, we were better team than Arsenal last weekend
Arsenal ndio reference yenu? Mtashuka daraja nyumbu nyiePoint moja sio mbaya. Tuzidi kushikamana katika kipindi hiki cha mpito.
All in all, we were better team than Arsenal last weekend
Bruno ni arrogantAmorim anajitafutia matatizo mwenyewe!! Mbinu zake pamoja na kukumbatia wareno wenzake akina Bruni & Dalot zinamfelisha🚮🚮View attachment 3451635
Mbona Thomas Frank anatumia back 3 na amepata matokeo mazuri sana vs City, na pia ameweza kuwamudu PSG kwenye super cup japo walipoteza..Bila kutoka kwny back 3 kwenda back 4.
Na viungo wawili hapo kati pamoja na bruno kurudi 10. Amorin hata weza kufaulu united.
Mkuu sijui huwa unaiangalia Mannjesta ipi.Ni kweli tatizo linaweza kuwa sio mfumo ila timu yetu inakosa balance hapa lazima moja kati ua Cuhna au Bruno awe anaanzia bench au Brino asepe af kocha aache kunanzisha Mount huku straiker anaaznzia bench.