Alishawahi kupiga kama Ile Kipindi cha Ten Hag, Bruno ni mchezaji Yuko na emotional Sana, ana temper mbaya Sana ambayo sometimes inatucost kama timu.Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn
Tatizo la Bruno ni moja. Amezidisha kiburi na kujiona bora kuliko wenzake. Hii game ya Man united ina presure kubwa kuliko mechi zingine zote.Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn
Leo tupo hapa mpaka dakika za mwisho kuwasagia kunguni😂😂😂Hamna timu hapa
😂😂😂HII TIMU BILA MAGUIRE NGUMU SANA KUSHINDA
Mpira unaanza upya. Man u apigwe cha pili ili akili yake ikae sawa. This time anashuka darajaMOYA MOYAAA
Papa spider Kiswahili halisi ni MOJAMOJAMOYA MOYAAA
Hapana. Huu mfumo ndo wenyewe Sasa.Ni lazima kocha abadilishe mfumo. Huu mfumo wake umefeli EPL la sivyo ataondoka mapema.
nyie jamaa mmewapa man utd matumain makubwa sana ila kiukweli hii timu ina shida 3-5 nzitoKuna uwezekano game ya man u vs arsenal, ni arsenal walicheza vibaya na sio vinginevyo
Hadi kwa Ozil?Hii kauli ni zaidi ya ukweli.
Madrid akikuuzia mchezaji jua huyo ameona mambo mawili,mosi amehit top level ya uwezo wake au hana potential ya maana.ila Madrid hawez kamwe kuuza mchezaji ambaye ni real potential world class au ana kiwango Cha maana.in short Madrid wanauza rejects tu