christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,248
- 5,300
Huyu kocha naanza kuwa na mashak naye huwezi kumpanga Bruno straika wakati Zirkee anaanziq bench yaani timu inacheza kama ipo mazoezini? Wachezaji wapo legelege wanapambana ni vinana tu. Casemiro, Mount, na Rashford sio wakuanza kwenye hii timu.