Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,221
- 79,741
Wazee wa kuchana mikeka
Umeielezea vizuri.Mipira ya kusimama.
Mipira ya kurudisha nyuma.
Mipira ya kutembea.
Mipira ya kuvizia vizia.
Ujinga mtupu.
Nakubaliana na wewe huwezi ukawa umenunua Striker then una muweka Bench anaanzisha sijui false 9#kiparaOut
msimu mpya ila nyumbu ni walewale😁😁😁😁😁😮💨😮💨🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁☺️🤣🤣😁😁😁😁😁☺️😅🤣😁😁😁😁😁🤣🤣🤣Nakubaliana na wewe huwezi ukawa umenunua Striker then una muweka Bench anaanzisha sijui false 9
Maisha bila unafki hayaendi kabisa, Wana Chelsea SC, Liverkuku, Arse8, Mwacity na klabu zingine ni full shangwe 😆😂Makubwa jinga sasa yameanza kujiuza tena msimu huu.
Mzee wa possibilities...imekuaje tena 🤣🤣kaanza na kilio cha wengi Mount .... huyu bana mi hata sielewi ilikuwaje akaja united
kaingia zirkzee kidogo hapo tuna 3 goals possibilities
labda nawao wachezaji hawajui nani wakumpa pasi na ndio maelekezo ya kocha ukipewa pasi jiongeze nani wakumpa huwezi butua mbele au mrudishie kipaMchezaji anapewa pasi hajui afanye Nini Wala mpira aupeleke wapi mazoezi gani wanafanya Hawa?
Brighton kaonesha umwamba sana pasi safi