Ndo mnaendeleo hayo dah.ila wakuu hata tukisema 10 hag aende nani atakae weza kuja kuinyanyua hii timu kwa sasa sokoni hakuna ni bora huyu huyu mwisho wa msimu anapata bahati hata ya carabao inatusaidia kwenda kuwacheka mahasimu wetu hasa arsenal maana kombe la kubwa ni nafasi ya 2 wazee wa taito kontendaz
mechi ijayo unae livakuku kwaio kwenye hesabu zako ongeza mech 1 mbeleNgoja nione mechi kama kumi hivi then nitajua UTD ipo wapi Kwa hivi Sasa.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha![]()
![]()
![]()
My prediction
Brighton 1 vs Manchester United 3
Time
8:30 mchana
Ile kichapo ya nguvu inawahusu sana wale Brighton.






nyumbu Kama nyumbu sasaHata wa kumlaumu hakuna?Leo mtagawanyika..
Kuna watakaosema Erik out
Kuna wataosema wanajenga timu
Na huu ndio ujinga wa huyu kocha yaani sijui anatumia akili gani.Tusipoangalia tunapigwa game 3 mfululizo halafu akili zinakaa sawa. Kazi kuchezesha watu nje ya position zao tu wakati watu wapo.
FT. Brighton 2-1 Utd.
Tunaanzia pale tulipoishia. Ten hag piga kazi


Kikubwa ninachoshukuru Dictator Masingeli ame resigned mwenyewe, laiti angukua bado yupo madarakani sijui siku ya leo hili jukwaa lingekua kwenye hali gani. 


Hiyo mechi ni ya kawaida kabisa, itakuwa ya Tatu kwenye hesabu.mechi ijayo unae livakuku kwaio kwenye hesabu zako ongeza mech 1 mbele