Mzee Rufiji
JF-Expert Member
- Aug 24, 2024
- 463
- 728
Tulia wewe Arse8Acheni kulia lia pambaneni mpate magoli ya halali.
Tulia wewe Arse8Acheni kulia lia pambaneni mpate magoli ya halali.
Tangu asajiliwe hajacheza mechi hata mojaKocha mjinga sana huyu..na mwaka huu atatutesa sana sijajua MAGUIRE alikuwa na shida gani mpaka akatolewa.
yani we bado una imani na huo mdolikwanini Antony hachezi
Ndio tulichokuwa tunakitafuta hikiFull Time: Brighton 2 - 1 United
zamu yenu arsenal inafata tulieniNyumbu wasipokaa kileleni leo hawatakaa wakae tena pale juu mpaka kiama
tumecheza vizuri wap mzee kupress tu mtihani hapo bado hatujacheza hata na big 6Mmecheza vizuri. Ila tafuteni Kipa wa kueleweka na pia Kobe mauno auzwe sio mchezaji wa kupata namba hata Nottingham forest.
Nasisitiza tafuteni Kipa wa kueleweka. Msije Anfield na huyo kipa wenu
Vile AllyPipi na Masnichi wenzake wanavyochekea pembeni 🤗Ndo tumeanza msimu wakuu mambo bado ni yale yale mpira mbovu hatuwezi ku defend kupunguza magoli mpaka msimu unaisha GD ni (-) bado midfield mbovu huko mbele forward ndio usiseme