Edook
Member
- Feb 21, 2022
- 59
- 91
Hapa hakuna kochaHivi nyie wenzangu mnaelewa tactics na formation za mzee wetu 10 hag au tusimuingilie kwenye kazi yake tumuache kidogo
Hapa hakuna kochaHivi nyie wenzangu mnaelewa tactics na formation za mzee wetu 10 hag au tusimuingilie kwenye kazi yake tumuache kidogo
Kipindi cha pili Mount ataubonda mwingi sana 🤠🤠🤠...mkishindwa kuwafunga Hawa Brighton leo kwa wanavyocheza hivi msahau kushinda mechi yyte dhidi ya top six wale...hii sio Brighton tuliyoizoea...ila nyny ndo mmezidi kuwa malofa....yaani mnarukaruka tu....badilikeni jmni tumechoka kuwachekaMount Mount Mount ..... Chelsea turudishie pesa yetu dah ile 60m tungetumia kushinikiza kumleta dogo neves aliyetua psg hapo kati kidogo tungekua na amani
kwani kunashida gani mechi hata moja akaanza garnacho then mbele umuewek rashford bruno arudi 10 kwenye CAM nafasi yake mzee anapenda super sub ma ku complicate mambo
Nakubaliana nawe, hatuna kochawazee hatuna kocha tuache kudanganyana.
Huyu mzee sasa hatokuwa na kisingizio tena anatakiwa ashtuke sasa ni vile ana bahati yakuokoteza kombe mwisho wa msimu inakuwa ni advantage yake ya kuendelea bila hivo top management wanamlia timing tu maana dah kuna vitu havielezeki anavifanyaHapa hakuna kocha
Huyu mzee sasa hatokuwa na kisingizio tena anatakiwa ashtuke sasa ni vile ana bahati yakuokoteza kombe mwisho wa msimu inakuwa ni advantage yake ya kuendelea bila hivo top management wanamlia timing tu maana dah kuna vitu havielezeki anavifanya


Baba Ubaya Christmas ya msimu huu itamkutia kwao Uholanzi.Mitano tenaHuyu mzee sasa hatokuwa na kisingizio tena anatakiwa ashtuke sasa ni vile ana bahati yakuokoteza kombe mwisho wa msimu inakuwa ni advantage yake ya kuendelea bila hivo top management wanamlia timing tu maana dah kuna vitu havielezeki anavifanya
Mi5 tena.Huyu mzee sasa hatokuwa na kisingizio tena anatakiwa ashtuke sasa ni vile ana bahati yakuokoteza kombe mwisho wa msimu inakuwa ni advantage yake ya kuendelea bila hivo top management wanamlia timing tu maana dah kuna vitu havielezeki anavifanya
kaanza na kilio cha wengi Mount .... huyu bana mi hata sielewi ilikuwaje akaja unitedHuyu mjinga TEN HAG ana tabia ya kumpumzisha AMAD na kumuacha RASHFORD anaruka ruka kule. Ngoja tuone kama leo atamtoa tena.
Rashford auzwe tuaende PSG hukoHuyu mjinga TEN HAG ana tabia ya kumtoa AMAD na kumuacha RASHFORD anaruka ruka kule. Ngoja tuone kama leo atamtoa tena.