Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah angalia mechi ya man city na Ipswich madogo waliongoza dakik ya 7 lakin man city katumia dakika 18 tu kumsokomeza 3 mpaka dakika hii ya 20 ni 3-1

hii hii Ipswich inaweza kututoa jasho lakini man city wanacheza kwa kuonyesha how quality they are and how world-class they are na ni kitu ambacho sisi man utd hatuna
 
ila wakuu hata tukisema 10 hag aende nani atakae weza kuja kuinyanyua hii timu kwa sasa sokoni hakuna ni bora huyu huyu mwisho wa msimu anapata bahati hata ya carabao inatusaidia kwenda kuwacheka mahasimu wetu hasa arsenal maana kombe la kubwa ni nafasi ya 2 wazee wa taito kontendaz
Ndo mnaendeleo hayo dah.
 
😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20240824-170302.jpg
    Screenshot_20240824-170302.jpg
    30.1 KB · Views: 20
  • Screenshot_20240824-170305.jpg
    Screenshot_20240824-170305.jpg
    21 KB · Views: 16
  • Screenshot_20240824-170307~2.jpg
    Screenshot_20240824-170307~2.jpg
    38.6 KB · Views: 23
FT. Brighton 2-1 Utd.
Tunaanzia pale tulipoishia. Ten hag piga kazi
Kikubwa ninachoshukuru Dictator Masingeli ame resigned mwenyewe, laiti angukua bado yupo madarakani sijui siku ya leo hili jukwaa lingekua kwenye hali gani.
Baba Ubaya hana ubaya na mtu, Kipara piga kazi baba hii ligi ni nyepesi tu kuliko hata Eredivisie, wasikutishe hawa chawa pro-max 'Eras can come to an end'
 
Back
Top Bottom