si zote zimekataliwa offside moja rashford moja zirkzeeMzee wa possibilities...imekuaje tena 🤣🤣
Enhe nani mbovu leoTulia wewe Arsenyau, karibu ushuhudie kandanda safi toka kwa watoto wa bwanyenye Sir Jim Ractliff(JR) chini ya kocha nguli kabisa wa mpira pale barani Europa Sir Eric Ten Hag ukipenda muite Baba ubaya.
Kwa akili zako za ndondo cup
ushawahi kuwaza hata siku moja kua captain Bruno Fernandes anaweza kucheza false 9 na mwisho wa msimu akabeba kiatu chake cha dhahabu?
Haya tulia uone miujiza ya mpira kutoka kwa kocha la mpira duniani![]()
Mna points tatu?zamu yenu arsenal inafata tulieni
KochaEnhe nani mbovu leo
Chagueni hapaLeo mtagawanyika..
Kuna watakaosema Erik out
Kuna wataosema wanajenga timu
alafu kuna mtu anakuambia eti tumecheza vizur yani tunapigwa pressing mtu tunatetemeka huku tukipata counter mara mtu kateleza mara utumbo utumbo tu yani lile goli dogo la amad kajitoa sana bila hivo ingekuwa aibu amna mtu wakufanya 1v1 kufosi kuongia ndani rashford dah huyumsimu wa5 kocha ajui ata mfumo anaotumia ni kiwembe2 cha kunyolea kipara ndo anakikumbuka😅😅😅😁😁😁☺️☺️😅😁😁😁☺️☺️☺️😁😁😁😅😅😅😁😁😅😅
Tatizo mmefocus nakujadili usajili wetu wa blues kuliko team lenu bovuNyumbu tulipoishia msimu ulioisha ndio tunaendelezea palepale.
Baba Ubaya ni kibri sana aiseee halafu yeye ndio boss na hakuna kima yoyote wa kumwabia kitu![]()
Kwa timu yenye akili timamu Carabao sio kombe la kumtambia mpinzani. Kombe hadi Oxford nini sijui anashiriki.ila wakuu hata tukisema 10 hag aende nani atakae weza kuja kuinyanyua hii timu kwa sasa sokoni hakuna ni bora huyu huyu mwisho wa msimu anapata bahati hata ya carabao inatusaidia kwenda kuwacheka mahasimu wetu hasa arsenal maana kombe la kubwa ni nafasi ya 2 wazee wa taito kontendaz
Mpeni Van nistelroy timu...atawafaa...kipara bumunda baba ubaya atawaua kwa mawazo hyu mzee....yaani dk ya 80 mmeanza kupelekewa moto mpk mkapagawa....yule De Ligt mmesajili wa nn Sasa...hana positional awareness...yaani yupoyupo tu....yule na magwaya mi namchagua magwaya....mna matatizo makubwa sana majirani🤠🤠alafu kuna mtu anakuambia eti tumecheza vizur yani tunapigwa pressing mtu tunatetemeka huku tukipata counter mara mtu kateleza mara utumbo utumbo tu yani lile goli dogo la amad kajitoa sana bila hivo ingekuwa aibu amna mtu wakufanya 1v1 kufosi kuongia ndani rashford dah huyu
/Meunoo/ sio mchezaji wa kikosi cha kwanza sema basii tuuMmecheza vizuri. Ila tafuteni Kipa wa kueleweka na pia Kobe mauno auzwe sio mchezaji wa kupata namba hata Nottingham forest.
Nasisitiza tafuteni Kipa wa kueleweka. Msije Anfield na huyo kipa wenu
Hasimu wenu 😅😅😅 ni livaWeek hii sijui tutaweka wapi sura zetu hapa maombi ni kwa wahasimu wetu nao wazingue tusichekane bila hivo week itakuwa ngumu sana