Mambo ya matashtiti, wanaume msione aibu kuimba au kusikiliza taarabu

Mambo ya matashtiti, wanaume msione aibu kuimba au kusikiliza taarabu

Midume ya pwani ndio husikiliza huu utopolo wa like kike uliojaa maneno na vijembe vya kike kiasi kwamba na wao hubadilika kitabia na kuwa wa kike kike. Ukimwona dume anasikiliza haya mamiziki ya kiarabu hakuna ushahidi mwingine kuwa amesha left group
 
Wewe ni papai

Aiseee ushawahi kuona papai anachukia TAARABU? Mwanamme ambaye JOGOO wake yupo vizuri hawezi kusikiliza TAARABU ,ukiona mwanamme anasikiliza/anapenda taarabu basi mawili either MCHELEMCHELE aka MFUMO UMEDUKULIWA aka SODA HAINA GESI aka MANULA KATOKA GOLINI(Hii 95%) or Mzibua TOPE(Hii ni asilimia ndogo kama 5%)
 
Back
Top Bottom