Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Usijali mpendwa huo ndiyo ushuhuda wenyewe asipo sema hivyo haitakuwa fulfilled bora amesema ili litimie kwa kasi na kwa haraka anadhani kila mara anaongea na watu wa kawaida; hajui kuwa some of us are Kings and our words are decree. As I said so shall it be ninasema nakurudia tena hakuna fisadi atakaye pona nyakati hizi never the mission is completed imebaki utekelezaji!
You watch and see confusion wanayoiendea hawa watesi wa nchi yetu; and some of us will be just some where laughing na kugonga glass za ushindi.
Sawa kwa imani yako ya jabari Mungu awe nawe