Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Msamaha wanini wakati muomba msamaha bado anamiliki mali za wizi na huku anaendelea kuhujumu uchumi? Mpaka dakika hii anapigana kulifilisi shirika letu pekee la umeme kwa kulidai bil 94 kupitia Dowans ambayo yeye mwenyewe alilazimisha wapewe mkataba, mpaka sasa anakula hela ya taifa kupitia TICTS kwa mkataba mbovu, mpaka sekunde hii Kagoda na pesa nyengine nyingi mno ya EPA haijarudi na madudu mengine mengi tu. Msamaha umpe wa nini? Ukiona mtu mzima anaomba msamaha kwenye mazingira kama haya ujue amewadharau na kuwaona wajinga na wapumbavu wote wanao ombwa mshamaha. Tangu lini mtu anaomba msamaha huku bado anamiliki mali ya wizi na anaendelea kuiba?

umesahau WDL( williamson diamond ltd) amekuwa contractor miaka yote bila mpinzani wakati serikali ina hisa zake hapo
 
Kwanza big thanks kwa Mugumu natumaini pia kuwa isije ikawa kama anavyoeleza hapa juu Maishamapya....hizi habari wana JF tuzichukulie kwa umakini zaidi na kwa uangalifu pia...Na ningeshauri si kwa hii habari tu bali na zingine zijazo there many fishy things coming out nowdays...Ila nachelea kusema kuwa mimi naamini kuwa CCM hata waafanye sijui nini sijui overhauling ya chama nothing will work for them ....Serikali yetu yote ni CCM viongozi ambao ni corrupt na wanafanya kazi kwa maslahi ya kundi lao tu hivyo ni imposibble ni sawa na mwafrika kujipaka mkorogo wala hakumbadilishi pua lake wala nywele zake za kipilipili.....
TUENDELEE NA MAPAMBANO......
Nakumbuka Joke ya mchekeshaji mmoja alipoulizwa "Eti ni kweli Hitler hakufanya lolote jema? Akajibu, "Kitu kikubwa na cha maana alichofanya Hitler ni kufa". So, the only good thing that CCM can do for Tanzania ni KUFA.
 
Ngoja tusubiri mashambulizi yao,hii itatusaidia kuelewa mambo mengi yaliyofichwa.
 
Kwa kuishinikiza kamati kuu kujiuzuru hapo nakubaliana na kuvunjwa kwa cc kwani ninachofahamu mkiti ana mamlaka ya ku fire secretariat kwa maana ni timu ya kiajira zaidi na haipigiwi kura, cc waliowengi wanaingia kwa nyadhifa zao, kura na chache kwa nguvu ya mkiti.
Tusubiri taarifa kamili maana ndani runinga mpaka mida hii hakuna kitu
 
Haingii akilini kuwa kama wamevuliwa uongozi mwingine wa CCM kutoka nafasi nyingine kutokana na uzito wa tuhuma dhidi yao kwanini wanabakia kuwa Wabunge? Kwanini sababu zilizowafanya wavuliwe uongozi mwingine zisiwe sababu za kuwavua Ubunge kwa kuwavua uanachama?
 
Inamaana ni hao 3 tu ndo wanaipaka matope CCM? Nadhani kazi iendelee wapukutishe wengine. Hata wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama somebody Hiza.
 
Katibu mkuu wa CCM na Sekretarieti nzima ya CCM imelazimishwa kujiuzulu. Hapa nipo Dodoma na mambo ni mazito. Uchaguzi kesho....Ila huyu mzee, lake kubwa ilikuwa ni kumfikisha mwanaye wa kiume kwenye uwaziri na Bintiye wa Vodacom Ukuu wa Mkoa au Viti maalum.

Mpango mzima ni kwamba, wajinadi sana kwenye vyombo vya habari, wanaonekane wachapakazi na kisha kuzawadishwa. Kwenye kura za maoni, wengi ndani ya chama walilalamika kuhusu Makamba kuingilia maswala na taratibu nzima za kura za maoni lengo lake kubwa likiwa ni kumuingiza mwanaye kwenye ubunge.

Kwa sasa huyu mzee ana bifu za kichinichini na JK kwa maana JK hakumchagua mwanaye kuwa Waziri. Basi hapo, akajiingiza kwenye mtandao wa RA na EL ili mwanaye awepokwenye baraza lijalo.

JK alifika kumuuliza YM ni kwa nini mwanaye anamdhalilisha hasa baada ya taarifa kutoka Usalama kumfikia kwamba February Makamba kamtishia binti wa Rockefeller...Ama kweli CCM imefika mwisho..kuna mengi sana na hizi habari ni za ndani mno, Nyeti
 
Mkuu Invisible vyeo gani walivyonyang'anywa sasa? Ni kutokuwa wajumbe wa CC na NEC au kuna cha zaidi? Kama ni hivyo sioni la maana lolote hapa. Walitakiwa wanyang'anywe kadi kabisa na kufukuzwa kwenye chama. Na kama wameonekana kuwa wanakipaka matope chama, ina maana wanayo makosa ya kufikishwa mbele ya sheria washitakiwe kwa kuhujumu uchumi wa nchi yetu.
 
Ni baada ya wanachama kutaka watatu hawa wawajibishwe. Press Conference tumekosa mawasiliano ya uhakika.

Zaidi, wameachwa na ubunge wao lakini nafasi nyingine ndani ya chama wamevuliwa!

Changa la machooo. Hawahitaji veo ndani ya ccm wakati tayari wameshika mshipa mkuu wa chama (pesa). Kama kweli JK alikusudia kuvua chama gamba basi angewafukuza uanachama ili pia wapoteze ubunge.

Kumbuka EL ni Mkiti wa kamati ya biunge ya maadili, yaani ni overall Mkiti wa Makinda na JK!
 
Ni baada ya wanachama kutaka watatu hawa wawajibishwe. Press Conference tumekosa mawasiliano ya uhakika.

Zaidi, wameachwa na ubunge wao lakini nafasi nyingine ndani ya chama wamevuliwa!

Mkuu invisible,
Je UENYEKITI WA KAMATI umesalia miongoni mwao (ktk kamati za bunge) ?
 
Chombo pekee chenye uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa CCM na kukivua gamba la ufisadi ni Mkutano Mkuu wa CCM. Hadi pale chombo hicho kikuu zaidi ndani ya CCM kitakapofanya maamuzi magumuk ya kubadili asili ya CCM mambo mengine yote yatakuwa ni majaribio ya kujinusuru tu na si zaidi ya hicho.
Mwanakijiji nawe mkutano mkuu ni jina tu ni kama muhuri ukiamua kugonga hata kama ni barua ya uongo muhuri hautakukatalia.
 
Nakumbuka haya makelele ni sawa na yale yaliofanyika ANC S. Africa ambako Zuma akaja kuwa raisi wa S.Africa. Leo hii huyo huyo Zuma ndie anaharibu ANC.

The South African president, Thabo Mbeki, was jeered and humiliated yesterday as he made a last-ditch attempt to retain control of the ruling African National Congress in the party's most bitter leadership election since it came to power 13 years ago.
Supporters of Mbeki's arch-rival, Jacob Zuma, dominated the opening of the ANC conference, exuding confidence that victory was certain as more than half of the 4,000 delegates were on their feet singing for Zuma and demanding that Mbeki go.

The president's supporters mostly sat in glum silence, apparently no longer able to muster the belief that their man can keep control of the party.

Delegates were scheduled to vote yesterday evening and a result was expected today. But the divisions in the party were evident as soon as the conference opened, when Zuma's supporters objected to an electronic count of the vote on the grounds that it could be rigged.

Mbeki is constitutionally obliged to step down as South Africa's president at the 2009 general election but there is no legal obstacle to him remaining party leader, which would give him considerable sway over who the ANC chose as its presidential candidate. Some of Zuma's support is drawn from those in the party who say Mbeki has centralised and misused power, and that it would be damaging to democracy for him to stay on.

Mbeki opened the conference with a speech that mixed what he regards as his achievements in running a stable economy and poverty alleviation with thinly veiled attacks on Zuma, who is likely to face corruption charges for allegedly accepting bribes from a French arms company.

Mbeki alluded to the accusations by suggesting that the ANC has "gravitated away from its moral axis" and calling for a leadership "seized by ethical fervour".

Mbeki condemned "patronage and lust for power" which drew derision from some of his opponents, who accuse him of both. There were jeers when he denied centralising power or abusing his office to pursue opponents. But the clearest sign of his waning power came immediately after the speech when the audience erupted at the mention of Zuma's name and sang and danced in support of their candidate. Mbeki sat stunned on the podium and the party leadership made a futile effort to stop the show of support for Zuma.

In a show of disrespect unusual in the ANC, delegates also booed some of Mbeki's closest allies as they arrived.

But while Zuma had the upper hand at the conference, he was under renewed pressure over corruption allegations after the South African Broadcasting Corporation revealed that prosecutors had submitted an affidavit to the constitutional court alleging that as South Africa's deputy president he took payments totalling 4m rand (£285,000) over 10 years from a French weapons company.

Zuma has asked the court to invalidate search warrants used to seize documents central to the investigation. If he loses that case, he is likely to face corruption charges that would probably block his attempts to become the country's next president.

But Zuma's supporters said that the timing of the revelations and the source, because the SABC is widely viewed as an Mbeki mouthpiece, showed that they were politically motivated.

"Allegations don't mean the man is guilty until the court says the person is guilty," Zuma told the SABC. "If I'm taken to court and the judge says 'Zuma, we find you guilty', as I walk out of court I will say to the ANC 'I'm stepping down'."

ANC conference jeers Mbeki as Zuma gains upper hand in leadership battle | World news | The Guardian

Haya matukio ya ccm na ufisadi ndani yake hayatatupa majibu yoyote ile ni kuwaondoa wote serikalini
 
mi cwapendi wote nshaingiwa na mawazo mabaya umasikini wangu umesababishwa na wao'avunje asivunje mi nawaona wote wezi tu''sasa sijui uvivu wangu wa kufanya kazi au vipi lakini mi nangoja kesho yangu tu''kwa sababu R A akifukuzwa huko ccm cjui bado ana mamilioni ya hela ambayo hayanisaidii hata nukta moja''hata rais wangu cjajua amentafutia dili kiasi gani tangu aingie madarakani sababu naona tu sukari imepanda na hela imeshuka thamani yake''sasa wakiwa ktk hvyo vikao vyao hata wakilipuana mabomu mi naona sawa tu''sababu mi nachotaka maisha yangu yaboreshwe siasa zao mi wala hazinihusu'
 
Back
Top Bottom