Nimefurahi sana tena sana, kama mh. mwenyekiti kaliona hilo, basi huo ndiyo mwisho wa matapeli ndani ya ccm.
Mkuu ni mapema sana kutoa credit kwa uamuzi huu, unatakiwa kutoa credit pale atakapotangaza secretariat mpya na CC mpya ikiwa na watu wapya kabisa na kuwaacha wote wenye harufu ya ufisadi hata kama waliisha wahi kuwa viongozi wa juu serikalini kama Mkapa etc. Huwezi kumrudisha Mkapa CCM halafu ujisifu kuwa umefanya mabadiliko. Anything shorter than that is a theatrical