Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Sidhani kama kuna lolote ambalo ccm inaweza kufanya kujiokoa.
Lipo! Kuachana na ufisadi kwa vitendo.
Sidhani kama kuna lolote ambalo ccm inaweza kufanya kujiokoa.
Confirmed, Kikwete kavunja CC na Sekretarieti muda si mrefu. Nimeithibitisha toka kwa source mmoja ndani ya CCM
Bahati gani kama Lowasa atawania u rais na W.S wa CDM. CCM ANAZO SIFA ZINAZOWAGUSA WATZ WOTE hata watoto wa chekechea wanamjua. Wanamapinduzi tunamtaka Lowasa 2015.
Lipo! Kuachana na ufisadi kwa vitendo.
Inamaana mwenyekiti ndiye mwenye mamlaka ya kuunda/kuvunja CC?.....kazi ipo, acha tu amwage ugali wenzake watamwaga mboga!
Thanks.Confirmed, Kikwete kavunja CC na Sekretarieti muda si mrefu. Nimeithibitisha toka kwa source mmoja ndani ya CCM
JK kishaivunja Sekretarieti na muda si mrefu ataivunja kamati kuu na kuiunda upya
Sidhani kama kuna lolote ambalo ccm inaweza kufanya kujiokoa.
Wangekuwa wanataka kuachana na ufisadi basi wangeshafanya hivyo. Ndio maana mafisadi (Akina Mkapa, Rostam, Chenge, Karamagi, Yona, Makamba, Lowassa na wengineo wengi) ndani ya chama hicho bado wanapeta na wataendelea kupeta kwa miaka mingi ijayo.
Tunasubiri kuona gamba litakalovuka! Wote tunajua ni kazi nzito kama kweli ccm ina mpango wa kujivua gamba!
Haya....siye yetu macho na masikio tu. Lakini najua hakuna mabadiliko yoyote watakayofanya hapo zaidi ya usanii tu....sanasana mbuzi wa kafara atakuwa Makamba tu. Kama anaubavu amng'oe Lowasa na Rostam....hapo Jk nitamuona kidumeConfirmed, Kikwete kavunja CC na Sekretarieti muda si mrefu. Nimeithibitisha toka kwa source mmoja ndani ya CCM
Tunasubiri kuona gamba litakalovuka! Wote tunajua ni kazi nzito kama kweli ccm ina mpango wa kujivua gamba!
Hiyo kitu nakuhakikishia haitatokea!!...hii nchi ni replica ya China,with multiparty system ambayo watu hawakuitaka anyways....nguvu ya umma? Please!.....let's clean our party and we'll talk about this in 2015,we are ready for yall!!yawe mabaya tu,,,, chama kifariki,tumkabidhi dr. Wa ukweli nchi,, akina majimshindo, kobello, na wengine wote cjui watakimbilia wapi kwa aibu...
Sidhani kama kuna lolote ambalo ccm inaweza kufanya kujiokoa.
Usijidanganye. Ikitokea Lowassa akatumia njia yoyote ile kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM, lazima atashinda uchaguzi mkuu. Sio kwa sababu namkubali, bali namfahamu. Kwa hili ninaweza ku-bet hata nyumba yangu, maana najua akiteuliwa atapita na mimi nitakuwa na nyumba mbili.