Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Kinana kawa deputy Tz bara, Nape kapelekwa itikadi na Zakhia Meghji kaenda fedha wakati Rehema Nchimbi akienda Organisation

Bado majina haya yanaweza kubadilika kwani kikao kinaendelea. Katibu Mkuu sidhani kama watabadilisha!
 
Mpendwa wetu CCM Kesha kufa sijui mazishi ni lini!
 
Wow! Goodwork I

Please more details about the kind of a person this is( his leadership style ) for those who knows...eg posts served etc etc
 
Huyu jamaa alikuwa na Keenja Jiji la DSM,baada ya hapo nkumbuka kama alikuwa katibu mkuu wizara moja wapo ya awamu ya nne.
 
Kinana kawa deputy Tz bara, Nape kapelekwa itikadi na Zakhia Meghji kaenda fedha wakati Rehema Nchimbi akienda Organisation

Hivi huyo Meghji anapendewa nini? mbona anabebwa sana?
 
Jamani kama walivyofanya bunge na kulifanya likose mwelekeo naona wateue katibu mkuu mpya mwanamke na tuwe na katibu mwanamke wa chama tehetehe tehe
 
tunaomba mtujuze kuhusu cv za huyo bwana, ila kinana aache jazba, ili wazame vizuri kwenye jahazi lao.
 
Yaleyale....pale JIJI tu palikuwa pagumu kwake sasa anaingia kwenye siasa...mhhh
au ndo wanataka kuwawin watu wa lake zone...hamna walichofanya
 
Cosmetic changes....Kwa maoni yangu CCM bado ni chama cha mafisadi/majambazi.
 
Back
Top Bottom