Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,655
- 593
Jamani eeh.. Greath THinkers... Naona mada imekuwa stori za kijiweni.. Kwanini tusijaribu ku-analyse sababu za JK kufanya hivi. Ndio tunafahamu kuwa alisema anatoa 'gamba' lakini je madhumuni hasilia ni nini...? Je nguvu ambayo upinzani umeipata na haswa CDM ndio umemtishia kupatwa na yale ya KANU? au ni mambo yaliyotokea bondeni kwa MADIBA hapo... ANC overthrow of Mbeki by ZUMA... Je Kikwete anarespond to Lowassa's attempts to take control of CCM's decision making bodies so that he could secure his presidential nomination 2015? Ama ni nini? Kwa hakika kesho majina mapya yatakapo pendekezwa ndipo nia na madhumuni yatajulikana.... Swali la kwanza ni je EL atarudi? tunajua kabisa RA ndio basi (at least in hatokuwepo jikoni directily), je wale wanaojiita wapiganaji kina Kilango, Mwakyembe n.k wataingia? je JK atawapoteza viongozi wengine waliochafuka kama Chenge (most likely in my opinion), na Je atataka kuwadhibiti wale ambao wako kambi ya Lowassa (makinda, et al.) na je wale wengine wanao imezea mate 2015 kama Samwel Sitta watatupiliwa choo cha shimo au ? Ingekuwa vizuri jukwaa la GREAT thinkers likawa mstari wa mbele kuchambua mambo haya kwakua yanatabiri hali ya nchi yetu katika siku za usoni itakuaje... tupunguze ushabiki na uchama katika haya... Nimejaribu kuangalia mawazo mbali mbali tuliyochangia humu nimeona yapo mawazo yamsingi lakini pia ushabiki mwingi (mara ccm wafe tuu..atakama wafe sawa vizuri labda, lakini tunaomba uchambuzi tafadhali...jukwaa hili lirudie hali yake ya miaka ya nyuma.) UCHAmbuzi MAKINI tafadhali jamani.
KK
Kuna wengine humu kazi yao kuchungulia kuna users wangapi online na wanapost kwa mbwembwe, na wengine sio great thinkers but great suckers! Hiki kijiwe cha chadema kikiendelea hivi haya ya Dodoma yatatokea CDM hivi karibuni. FUTURE haionekani kwa macho yenye miwani bali macho ya KI-FIKRA.