n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
- Thread starter
- #61
Inaelekea JK hakuwa anajua kuwa ndani ya CC kulikuwa na waliokuwa wanataka kutenganisha kofia ya urais na uenyekiti; kashtuka sana na kuchukua maamuzi.
Wakuu hali ni tete ndani ya Dodoma sasa, kuna hatari endapo wale wanaotuhumiwa kwa ufisadi ambao wanatakiwa kuondoka ndani ya chama wakifurukuta zaidi mambo yakawa mabaya zaidi
Wakuu hali ni tete ndani ya Dodoma sasa, kuna hatari endapo wale wanaotuhumiwa kwa ufisadi ambao wanatakiwa kuondoka ndani ya chama wakifurukuta zaidi mambo yakawa mabaya zaidi