Mungu sio mzee athumani au mzee mkumba.Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu John Pombe Joseph Magufuli
Sirikali inaleta taharuki kwa kutotoa taarifa mahali aliko rais wetu kipenzi, pengine katekwa na wasiojulikana.
Hakika tutayamiss Sana hayaAnapofanyia uzinduzi, anapoapishia mtu, anapokagulia miradi, anapoteulisaa mtu.. etc sasa huko kote hayupo
Kipi ni kipiHe heeeeeeeee....... eti "Rais anawasalimia"
Nikumbusheni ni kazi ipi vilee!Leo Mama Samia ameanza ziara mkoani Tanga na akiwa kwenye kiwanda kimojawapo alichozindua kinachoshughulika na matunda alipata nafasi ya kusalimu wananchi baada ya kuombwa na mkuu wa mkoa wa Tanga ambapo alianza na salam kutoka kwa Rais Magufuli
"Kabla ya kuwapongeza niwasalimie salam za Rais anawasalimia, anasema tuendelee tuchape kazi, kipindi hiki tushikane tujenge mshikamano, tujenge upendo, tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu"
Baada ya salam hizo Mama Samia amewapongeza kwa kuwa na kiwanda kwani ni mkombozi.
Pia soma > Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa
Fanya hivyo wewe,sisi tunataka tumuone Rais wetu...au kuna ubaya???Endelea kufanya kazi zako,kuwa ana amani. Magufuli yupo hai sema kuonekana itachukua miezi. Hivyo chapa kazi.Magufuli si O2 .Kwamba tusipomuona basi tutakosa hewa.
Safi na sisi wananchi tunamwombea HERI na amani aendelee kuchapa kazi kutuletea maendeleoLeo Mama Samia ameanza ziara mkoani Tanga na akiwa kwenye kiwanda kimojawapo alichozindua kinachoshughulika na matunda alipata nafasi ya kusalimu wananchi baada ya kuombwa na mkuu wa mkoa wa Tanga ambapo alianza na salam kutoka kwa Rais Magufuli
"Kabla ya kuwapongeza niwasalimie salam za Rais anawasalimia, anasema tuendelee tuchape kazi, kipindi hiki tushikane tujenge mshikamano, tujenge upendo, tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu"
Baada ya salam hizo Mama Samia amewapongeza kwa kuwa na kiwanda kwani ni mkombozi.
Pia soma > Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa
Mh... Ndiyo wanakushangaza leo? Ndiyo unajua hakuna wa kukaa milele leo? Tundu Lissu alipopigwa risasi hukuwa unajua? Wakati Ben Saanane anauawa hukujua kuwa waliomuua hawatakaa milele? Jinga kabisa!Mkuu Hawa binadamu wananishangaza ivi ninani ambaye atakaa milele (hatakufa) Kiukweli inaumiza Sana mtu mwenye akili zake kufanya mambo ambayo hafanani nayo. Ni miaka mitatu iliopita Kuna watu waliamua kuzusha kifo juu ya mwana familia wangu kutokana tu na chuki ( figisu) lakini chaajabu waliozusha ndio wameondoka mwanafamilia wangu you buheri waafya. Nashindwa kumuelewa huyu binadamu kwamba hajui anae panga kifo?
Mfano ikiwa anaumwa itakusaidia nini mkuuMambo mengine ni ya kitoto sana. Yaani salamu mpaka amtume Samia? Anatusalimia kutokea wapi akiwa katika hali gani?
Vita ya kiuchumi mbona hauelewi!!?😇😇😉😆Hivi anaposema kipindi hiki tushikamane tuchape kazi anakuwa na maana gani kwani kwenye kipindi hiki kuna nini?
Nani kasema nani anaumwa? slow down and don't allow your thoughts to slip your mindMfano ikiwa anaumwa itakusaidia nini mkuu
Sehemu ya mshahara wako kila mwezi ina mtunza Rais, ni muhimu ufahamu matumizi ya kodi yako.Kujipa hofu kwa rumors za hali ya Rais ni matumizi mabaya ya hofu..