Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

ImageUploadedByJamiiForums1425288591.923695.jpg
Kama unamiliki shule ya sekondari na inafika mahali unakuwa na wanafunzi watatu tuu wa kidato cha nne ambao hata hivyo katika mtihani wa taifa wote wanafeli. Wakati huo huo una madeni makubwa ya Kibenki yanayohusiana na shule hiyo hiyo ni wazi huwezi kupambana na msongo mkubwa wa mawazo. Na walio karibu nawe wanapaswa kukupa msaada wa kisaikolojia na ushauri wa kimkakati ili kukutoa katika hali hiyo.
Wapo waliokuwa karibu naye kijamii na kikazi (hasa kichama zaidi) lakini pamoja na kuliona hili hawakumpa ushauri nasaha au alipewa na akaudharau. Na matokeo ndio haya ya kuzidiwa na shinikizo lililoleta yaliyotokea. Poleni wafiwa na wengine tujifunze tuwapo na matatizo kama haya tuwashirikishe wataalamu wengine watusaidie.
 
View attachment 231113
Kama unamiliki shule ya sekondari na inafika mahali unakuwa na wanafunzi watatu tuu wa kidato cha nne ambao hata hivyo katika mtihani wa taifa wote wanafeli. Wakati huo huo una madeni makubwa ya Kibenki yanayohusiana na shule hiyo hiyo ni wazi huwezi kupambana na msongo mkubwa wa mawazo. Na walio karibu nawe wanapaswa kukupa msaada wa kisaikolojia na ushauri wa kimkakati ili kukutoa katika hali hiyo.
Wapo waliokuwa karibu naye kijamii na kikazi (hasa kichama zaidi) lakini pamoja na kuliona hili hawakumpa ushauri nasaha au alipewa na akaudharau. Na matokeo ndio haya ya kuzidiwa na shinikizo lililoleta yaliyotokea. Poleni wafiwa na wengine tujifunze tuwapo na matatizo kama haya tuwashirikishe wataalamu wengine watusaidie.

Nasikia alishamtungia Lowassa nyimbo za kampeni tayari. Hivi kweli Eddo alishindwa kumtupia japo 250M akamwokoa rafiki yake huyo?
 
View attachment 231113
Kama unamiliki shule ya sekondari na inafika mahali unakuwa na wanafunzi watatu tuu wa kidato cha nne ambao hata hivyo katika mtihani wa taifa wote wanafeli. Wakati huo huo una madeni makubwa ya Kibenki yanayohusiana na shule hiyo hiyo ni wazi huwezi kupambana na msongo mkubwa wa mawazo. Na walio karibu nawe wanapaswa kukupa msaada wa kisaikolojia na ushauri wa kimkakati ili kukutoa katika hali hiyo.
Wapo waliokuwa karibu naye kijamii na kikazi (hasa kichama zaidi) lakini pamoja na kuliona hili hawakumpa ushauri nasaha au alipewa na akaudharau. Na matokeo ndio haya ya kuzidiwa na shinikizo lililoleta yaliyotokea. Poleni wafiwa na wengine tujifunze tuwapo na matatizo kama haya tuwashirikishe wataalamu wengine watusaidie.

Komba alikuwa hashauriki ndugu yangu. Kama unamshauri hakikisha unasema kile roho yake inataka. Washauri wengine ni watumiaji wa mikopo hiyo ili afurahike. Kama huwatunzi walimu wako vizuri unategemea wanafunzi watafundishwa itakiwavyo? Mwanzoni mbona mambo yalienda vizuri hata Bakili Muluzi rais wa Malawi aliweza kumsaidia? Baadaye alilewa umaarufu akajisahau na matokeo yake ni haya. Upo ushauri watu wanasema, usipojali kuwa mwangalifu juu ya mali ya umma hata mali yako mwenyewe hautajifunza kuwa mwangalifu nayo. Ukiwa mzuri katika public properties lazima utatumia uzoefu huo katika kuendeleza mambo ya kwako pia. Shuleni nilifundishwa kwamba ukifanya vibaya wakati wa kujifunza chini ya uangalizi wa watu juu yako, sio vibaya sana kwa kuwa unajifunza tu, lakini ukiogopa kuwa mwaminifu wakati wa kujifunza ati hutaki taabu, unachukuwa short cuts kujibu maswali magumu, utadumalia short cuts na hutoweza kuwa mzuri hata katika mambo yako.

Umesema washauri wake wa CCM walikuwa kisiaza zaidi, Ndio hao CCM ambao kila siku wanafyongo na ukiwauliza wanatoa majibu mepesi sana kwa maswali ambayo ni nyeti sana na impact yake huumiza au hufaidisha Taifa, hawashauriki na kila anayewaambia ukweli wanamkolimba na kumtenga kabisa tena hadharani, unadhani Komba angepona vipi? Si unaona alivyokuwa akisimama hata bungeni na kutukana wapinzani wanapowashauri CCM na serikali yake? Hata Mzee Warioba ccm mwenzao si uliona alivyomkoromea bila chembe ya utovu wa nidhamu kwa wazee wake kwa sababu tu haemi kile ccm inataka kusikia kutoka kwake? Kwa kawaida marehemu hapaswi kussemwa vibaya lakini kwa kuwa ameacha legacy mbaya tunayasema ili yawe funzo kwa wengine wenye tabia kama ile. RIP Komba kwa kweli.
 
Na inawezekana hata hao wanafunzi 3 ni nduguze. Atawahamishaje au kuwadai ada.
R.I.peace JK3
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?
 
Dawa ya Deni ni kulipa....kwann akikopa kiasi chote hicho. ..kama ni kwa mantik hiyo kajitakia pressure mwenyewe
 
kile kidemu kidogo dogo kibaya,kinafilisi harafu kinakumaliza....
akitaki ushaidi.
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Sababu ya kifo cha mtu huwa inaandikwa kwenye death certificate.Hivi Death certificate ndivyo inavyosema kuwa kafariki kwa ajili ya madeni ya CRDB? Kama ndivyo wahi mahakamani hata saa hii.

Yaani humu hamwishi uzushi hata wa kuzulia maiti.
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?
Ukipewa mimba soln sio kuitoa!!ukionashida msakizie MTU akutunzie
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?
Kama nyumba iliuzwa iweje afe akiwa humo? Au alinunua mwenyewe
 
Natamanii kuzisikia zilerecord za nyimbo za lowassa alizomtungia atakapokuwa raising!!sosadd jaman
 
jamani embu tuwe na adabu na heshima kidogo kwa marehemu loh!
 
sasa yeye alivyokuwa anakopa alijua ile ni sadaka
 
Back
Top Bottom