Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kapteni Komba kama raia alikuwa na haki ya kuingia msituni kupigania serikari mbili na katiba inaruhusu hivyo under article 28 (3) ya katiba yetu.

Raisi hana mamlaka ya kugeuza muundo wa serikari ya Tanzania let alone mtu yeyote. Mapendekezo ya jaji warioba ni ya kihaini na wote wanao support under those circumstances, raia wazalendo tunaruhusiwa kabisa kulitetea taifa including kuingia msituni tukipewa mwongozo na kapteni komba. Before you discuss union matters njia halali ni kura ya maoni tu kwa mujibu wa katiba, sasa kwanini kapteni komba asiingie msituni na sheria imevunjwa na watu wahuni kama jaji Warioba.

Hayo madeni ya benki nadhani ni wakati muafaka sasa wa kapteni komba kuja na album mupya, labda itauza alipe deni.
 
Yeye John(kabeva) alikulia maisha ya shida kijijini kwao Lituhi na hata hivyo gesti yake isha chomwa moto zaidi ya mara 2 kutoka na unafiki wake. Huko msituni alikosema ataenda ni hoja ya kItoto sana na kujipendekeza tu
 
Anakufa vizuuri kimya kimya kwa stress, hawez tena rudi bungeni kwa kura, shule na nyumba zake zimeuzwa, na mjue walioshndwa msaidia sa hivi hawataweza msaidia akitoka kwenye system,
R. I. P Capten
 
Huyu nae! si aende kwa braza Rugemalira faster? Vigezo na Masharti yote anazo; Mkatoliki, Kada wa CCM, Mtetezi wa Mafisadi, Anti mageuzi, Mzee wa Ngono Zembe...
Benki ya CRDB iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa Kapteni John Komba kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana.

Jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja za kitanzania.

===================================



Chanzo;Raia Mwema
 
Pedeshee Komba vipi tena au Lulu amefilisi hela yote? Hii kitu hii kitu hiiii....kitu hiiiiiii
 
Wazee wa Escrow wako wapi waokoe jahazi linazama huku? Wakumbuke fadhila jinsi alivyojitoa mhanga mjengoni kuwatetea leo hii wanamwacha alie, 'Eloi Eloi......'
 
si akokope tu pale NBC bilioni moja na nusu akalipe crdb. Kwa kufanya hivyo atakuwa amebuy more time ili aweze kujipanga vizuri Zaidi kwa ajili ya kuwalipa NBC ndani ya miaka mitano ijayo.
 
Bwebwe kumbe hata lile Gari alilompa LULU inawezekana limehusikaaa...
 
Back
Top Bottom