Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?
Dawa ya Deni ni kulipa....kwann akikopa kiasi chote hicho. ..kama ni kwa mantik hiyo kajitakia pressure mwenyewe
jamani si crdb ndo imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. Je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? Je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?
Sababu ya kifo cha mtu huwa inaandikwa kwenye death certificate.Hivi Death certificate ndivyo inavyosema kuwa kafariki kwa ajili ya madeni ya CRDB? Kama ndivyo wahi mahakamani hata saa hii.
Yaani humu hamwishi uzushi hata wa kuzulia maiti.
UNAMAANISHA HATA KAMA MTU ANADAIWA AKISHINDWA KULIPA BENK ISIIDIE MALI ZAKE?deni la bank halinaga sababu na hakuna hata chembe ya sheria inayoweza kumbana crdb plc labda waliuza au kuanya kinyume na sheria katika taratibu za kumdai au kufilisi collateralJamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?