Anakufa vizuuri kimya kimya kwa stress, hawez tena rudi bungeni kwa kura, shule na nyumba zake zimeuzwa, na mjue walioshndwa msaidia sa hivi hawataweza msaidia akitoka kwenye system,
R. I. P Capten
kaipata fresh na cdm wanachukua jimbo lazma afe kwa presha punguani wahid
Kwa kweli maneno huumba
na bado, band ya TOT ikowapi?
si akokope tu pale NBC bilioni moja na nusu akalipe crdb. Kwa kufanya hivyo atakuwa amebuy more time ili aweze kujipanga vizuri Zaidi kwa ajili ya kuwalipa NBC ndani ya miaka mitano ijayo.
Mdomo wako hatari sana ulimtabilia marehemu.kaipata fresh na cdm wanachukua jimbo lazma afe kwa presha punguani wahid
Anakufa vizuuri kimya kimya kwa stress, hawez tena rudi bungeni kwa kura, shule na nyumba zake zimeuzwa, na mjue walioshndwa msaidia sa hivi hawataweza msaidia akitoka kwenye system,
R. I. P Capten
Anakufa vizuuri kimya kimya kwa stress, hawez tena rudi bungeni kwa kura, shule na nyumba zake zimeuzwa, na mjue walioshndwa msaidia sa hivi hawataweza msaidia akitoka kwenye system,
R. I. P Capten
mbona hili lipo straight mkuu, unakopa kuwanunulia magari vimada na kuwajengea mijumba utegemee hutapata mshutuko wa moyo! Thubutu! Wakianza kukudai ndio unaanza kusoma numba za mkopoAisee mkuu Jamiix mdomo wako haufai mkuu uliongea hii kitu januari 19 2015 na jana feb 28 mzee komba kafariki daah usije kumtamkia mtu maneno mabaya mdomo wako haufai.
Si vyema kumsema marehemu ila..
Nimetembelea gest zake MbambaBay na Lituhi hamna hata moja yenye hadhi. Vunjavunja n magofu tu huwezi lala siku mbili mfulilizo. Ni mapipa ya maji ndani na ukarabati mfulilizo.
Moja imewekwa alama X na Tanroads akafuta. Lakini akarudisha baada ya kushauriwa kuwa yeye ndo alitunga sharia.
Seems Jamaa aliweka interest zake mewhereelse sio weye real estate Development. Mzaha tele Mh unaingia ofisi za Wilaya na Mkoa ukiwa umevaa malapa/ sandals na track suit ??
RIP John K