Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Hayo ni mawazo yako lkn ukwel anaujua marehemu..so tumuache apumzike kwa aman! Kwan ht km isengekuwa maden angekufa tyu so wote tupo safirin
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

CRDB haijachangia kifo cha Komba, imefanya kazi yake.

Komba kachangia kifo chake.

Benki inafanya biashara, sio kazi ya kanisa.

CRDB wangemsamehe kwa upendeleo mngepiga kelele Komba kapewa upendeleo.
 
Hiyo ni sababu ila haina mashiko kisheria.

Yeye alishindwa kutekwleza duty yake as a result Crdb wakaenforce haki yao. Ngoma draw hapo, hata asingetaifishwa angekufa tu.

Ikimbukwe Crdb hawajavunja sheria kwa kutaifisha.
 
You may kwant to put it this way, Deni alilokopa Captain Komba Banki ya CRDB limemsababishia kifo chake.

Sio kuwa angeweza bali ndivyo ilivyotakiwa iandikwe. Benki hukopesha ili ufaidike na kulipa sio kuwasababishia wateja wao vifo. Hutaki kuingia kwenye depression itakayokusababishia heart atack na kukuusababishiia kifo ni kulipa unachodaiwa.
 
Wakuu hii mada haivutii kivile Kuchangia!! Crdb ni assumed person haina uhai ivo haiwezi kumtoa uhai! Labda mseme Mwenye crdb ndio kafanya. Hata ivo crdb hawawezi kuacha pesa za umma/ wanahisa kisa mtu ana sukari. Eti mkurugenzi wao akaseme tumemsamehe xxxx sababu ana sukari hatatufia!!!?..
Tungesema marehemu kajiua kwa yoga/pressure au sukari napo bado si kosa kisheria kujiua!! Kujaribu kujiua ni kosa kisheria ila kujiua si kosa ndio maana sheria ya kanuni za adhabu haijaweka adhabu kwa mtu aliyejiua!!

Tungeendelea kumsindikiza marehemu kwa aliyoyafanya mazuri na mabaya, ila si kumtafuta muuaji!!
Gsana.
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Dawa ya deni ni kulipa. Tusiwalaumu crdb maana ndiyo biashara wanayoifanya na kukulipa interest kwenye hela zako ulizoweka kwenye account yako.
 
Ila kama tungekuwa tunarudi tena duniani baada ya kufa, angalau tukaja kuweka sawa mambo japo kwa muda was angalau miaka miwili tu, nadhani mheshimiwa komba angetuomba radhi watanganyika wote akiwemo na mzee Warioba.
Maana changamoto anazopata ktk mitandao ya kijamii ni soo aliwakera wa tz ambao so ccm
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Pia naomba nikueleweshe, kwa taarifa kamili ni kuwa Shule ziliuzwa mwaka jana, nyumba unayosema ilitakiwa kuuzwa ila haikuuzwa tena baada ya kufikia maelewano jinsi ya kulipa deni lililobakia. Bank haihusiki kabisa na kifo cha mhe.
 
sio capt komba tu.. (R.I.P) hata wewe ukikopa usipolipa utapatwa na presha tu.
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Death certificate ndivyo inavyosema? Kama alijua mkopo usababisha kifo kwa nini alikopa? Hivi kwenye fomu za mikopo ya benki kuna sehemu ya kujaza afya ya mkopaji na kutoa ushahidi wa kitabibu?!
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Kosa lao ni kwamba wakati wanamjaza manoti hawakumpima presha
 
Jamani Si Crdb Ndo Imechangia kifo cha kapten j.komba, maana baada ya kuuza nyumba yake,shule yake ndipo presha kupanda maana deni lilikuwa kubwa. je,crdb hawapaswi kuchukuliwa hatua kama wasababishaj wa kifo? je,bila benki ya crdb kuuza mali zake presha ingepanda?

Wangapi wameuziwa mali zao kwa kushindwa kulipa na maisha yanaendelea?
 
no one will come out of this life alive... so wait for your time
 
Kimei akamatwe na kushtakiwa kwa kusababisha mauwaji ya kimbari ya mzee wa msituni
 
At least imepunguzia family mali za kugombea....maana zikiwa nyingi ugomvi wa Mali unakuwa mkubwa zaidi
 
Back
Top Bottom