Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

2025 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu mzee wangu alipooza stroke nilimaliza sana hela pale muhimbili inshallah now kapona kwa asilimia 100 mwaka huu nitaendelea pale nilipo ishia mwaka 2025nilikuwa mtu wa kulia sana 😭😭 mwaka huu 2026 sitalia tena
Pole sana ndugu
 
Karibu sana mkuu... kulitekeleza hili kutakuwa na platform ya kupata wanachama, utapata nafasi, na nafasi ya kushiriki uongozi ndani ya chama itakuwa open kwa kila mwanachama kwa usawa. Karibu sana
Kaka yaani ona hapa tunachati vizuri kabisa alafu nianze kutafuta uanachama kwenye platform kweli ?

Ni suala la kuniita chemba na kunipa walau kadi namba mbili alafu kunipa majukumu niwashe moto mbeya au kanda ya kusini ili uone moto wangu lakini ukisema nianze kujiunga kwenye maplatform ni kushusha mahadhi yangu mimi mwamba .
 
Ni kama tumbo la period linavyouma, maumivu yanavumilika kabisaaaaa labda kama yanatofautiana mtu na mtu lkn mimi haikuuma hata kidogoo
ephen_ Una watoto wangapi? My uchungu unauma hadi unaweza ongea kichina na hujawahi jifunza 🤣🤣🤣 sema itakua inatofautiana mtu na mtu, nina rafiki angu nae anasemaga hakuumwa popote
 
Kaka yaani ona hapa tunachati vizuri kabisa alafu nianze kutafuta uanachama kwenye platform kweli ?

Ni suala la kuniita chemba na kunipa walau kadi namba mbili alafu kunipa majukumu niwashe moto mbeya au kanda ya kusini ili uone moto wangu lakini ukisema nianze kujiunga kwenye maplatform ni kushusha mahadhi yangu mimi mwamba .
Usijali kabisa mkuu, nitakuzingatia kabisa. Tutahitaji kama watu 2000 wa kukiwasha nchi nzima. Hao ndo watakuwa roho ya chama. Usijali kabisa
 
Kuna dada humu alinihaidi kuwa atanipatia wadogo zake wawili mmoja kati yao niweze kuoa, watakapo maliza chuo, na alisema ni warembk kweli kweli.
Anyway nisijekuwa natafuniwa huko chuo.
 
ephen_ Una watoto wangapi? My uchungu unauma hadi unaweza ongea kichina na hujawahi jifunza 🤣🤣🤣 sema itakua inatofautiana mtu na mtu, nina rafiki angu nae anasemaga hakuumwa popote
Mtoto mmoja! Uchungu haukuniuma😂 madaktari walikazana kuniambia push mtoto atoke kimoyomoyo najiuliza nipush nini wakati namsikia mtoto anajisukuma mwenyewe?
 
Mungu akubariki hitaji la moyo wako likawe kama uombavyo, mengine ujipe moyo wa uimara yatapita bila ya shaka.
Mimi malengo yangu namwomba Mungu nijaaliwe kuweza kuongeza wigo ktk ufugaji wangu niweze kuwa na idadi nzuri ya majike wa kuzalisha ili niweze kuwa na usambazaji mzuri wa Mbuzi.
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Kila neema/baraka huja na changamoto zake, ukizishinda ndipo akili hupanuka huo ndio ukubwa. Wakati ww unawaza hivyo mwenzako anawaza ataongeza vipi kipato sababu familia inaanza kuwa kubwa so ni kawaida unapoingia daraja fulani kwenye maisha.
 
Back
Top Bottom