Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

NJe ya mada kidogo Joanah huyo uliyemuweka dp ni nan
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Mimi ni mdau wa afya mwandamizii senior... of course naitwa dokta kwenye jamii inayo nizunguka..

Mimi ni kijana wa makamo..raia mwema.. binafsi Nina Roho ya kiume..napiga Tungi...na pesa ya kutumia Nina ka IST chakavu nasema yote haya sababu ya September 2025

Nili ingia labour kushuhudia mke wangu akijifungua nili sema na huwaa namwambia mpaka sasa watoto wawili wanatosha....Sito mpa MIMBA tena maana huu ujauzito ni nusu kifo

Mke wangu black beauty ila watoto woteeeeeee ni weupee kama Mimi na wamefanana na mimi wotee kila kitu wakiume na kike
 
Ahahahahahah hatareee natoa uzi soon...😂😂😂🫵🫵🫵
Nyie kupendwa na wamama raha sana
 
Inaweza kuwa hivyo kweli, nikisema tu inakuwa ngumu sana kutekelezeka kuna muda nawaza au labda nlieshare nae kuna namna anafanya? Usiri ni muhimu sana
Ni kama vile ukiwa na kinyongo ukiongea unatua mzigo hata malengo ni hivyohivyo, usiongee ili kiwe moyoni malengo yako yakusumbue kuyatekeleza
 
2025 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu mzee wangu alipooza stroke nilimaliza sana hela pale muhimbili inshallah now kapona kwa asilimia 100 mwaka huu nitaendelea pale nilipo ishia mwaka 2025nilikuwa mtu wa kulia sana 😭😭 mwaka huu 2026 sitalia tena
Stroke imeponea muhimbili?
 
2025 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu mzee wangu alipooza stroke nilimaliza sana hela pale muhimbili inshallah now kapona kwa asilimia 100 mwaka huu nitaendelea pale nilipo ishia mwaka 2025nilikuwa mtu wa kulia sana 😭😭 mwaka huu 2026 sitalia tena
2025 ilikua mwiba hata kwangu especially kiuchumi. 2026 naona kabisa utakua mwaka wa shangwee Inshaalah.
 
Back
Top Bottom