Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Na maphoto yalikuwepo? 😹😹
Nitumie pm mahi nisafishe macho 🤣
Hapa maphoto sikuyaona ila yaliongelewa, we nenda kwenye ule uzi ucheki movie nzima


Nimuogopeeee Depal? 😹😹
Wee umenijua jana kumbe..!!

Simuogopi na mwenyewe anajua, toka selfika huko kwenye mishengesha yetu wambea tupo nao lele lelee wanavyotupiana makombola na mke mwenzie..!! 😹😹😹
Wengine wa umbea wa selfika nao walikuwepo kwenye uzi, wanaitana kuchochea kuni moto uendelee kuwaka 😂 😂 , mambo yalikua mengi


😹😹😹 kwani analiwa yeye analiwa hawara ake..!!
200w.GIF
 
aloooo😆😆 siku faili langu likivuja naomba mvae miwani yani mpite kimy kimya,, mkithubutu kunicheka Walah mtachagua kusafilisha au kuzikia humu humu JF😂
Mimi ni observer tu, nasajili nakaa kimya, huwezi kunikuta naongea sana kwenye hizo nyuzi.
Mafaili nitayatumia siku mtu akijichanganya kwangu 😂

Joanah ubuyu ulianzia huku, huko ni mwendelezo - Part 2 😂
Summary #273
 
kiufupi Fake kachanganya mafaili kahisi huyo ShesRise_1 ni Depal kumbe kayavagaa, kamtusi huyo dada wa mwanzo halafu D kaja kamwaga yote hadharani kuhusu anayegombaniwa, Fake kakosa maneno na akapewa warning ya kumbully Shesrise.
Nilivyoandika ile warning ulielewa kweli? 🤣🤣 Ni sababu ya kuita jina na(name calling) na sio wrong target. I have never miss my shot guy guyyyy.
 
Ulisikia jamani🤣🤣 Wanazengo ??jiamini wew unijibu kwa ile Id yako bwana 🤣🤣🤣ndio nikuambie kati yangu na yule s**t nani analala nje.

Jibu hata kwa like tu na ile I'd 🤣🤣🤣 vingenoga sana ili, Nile zangu ban ya Haki bin haki 🤣🤣🤣 do me a favor for a while please. Sitakuangusha I promise 🤣
Lamomy ukiisoma hii comment huu muandiko hauufananishi kweli?
 
😹😹😹😹 Mule mule
Hao ndo mabwana wa JF wanatomber hovyo hovyo halafu wanachonganisha wanawake wagombane..!!

Na nyie wadada mkifokolewa si mtulie jamani mpaka mgombane??
Kwa dyudyu gani haswa?
Mnatutia aibu banah..!!

Wanaume wapo wengi si wampe hata kaka Lucas asafishe nyota huenda Samuya akamuona ampe ujumbe wa nyumba kumi..!! 😹😹😹
Wanaume wapo wengi si wampe hata kaka Lucas asafishe nyota huenda Samuya akamuona ampe ujumbe wa nyumba kumi..!!😂😂😂
 
Nilivyoandika ile warning ulielewa kweli? 🤣🤣 Ni sababu ya kuita jina na(name calling) na sio wrong target. I have never miss my shot guy guyyyy.
All in all malizaneni pm huko acheni kujidhalilisha humu hakuna kitu mtagain zaidi ya kuonekana kama wajinga tu! Bwana naye ni wa kugombania tena kwa kizazi hiki? Poleni sana..
 
All in all malizaneni pm huko acheni kujidhalilisha humu hakuna kitu mtagain zaidi ya kuonekana kama wajinga tu! Bwana naye ni wa kugombania tena kwa kizazi hiki? Poleni sana..
mahilove nipende kukwambia tu tuwaache,, kuna waja washasema huu ugomvi sio wa leo wala jana wakitosheka wataacha,, mwishoe kibao kigeuzwe kwa watoa ushauri😅😅,, mi ugomvi siupendi Walah
 
Wanaume wapo wengi si wampe hata kaka Lucas asafishe nyota huenda Samuya akamuona ampe ujumbe wa nyumba kumi..!!😂😂😂
Ankal ule uzi uko wapi? Mbona siuoni tena? 😹😹

Hawa mimi nataka wanyukane bado hawajamaliza kutoa vinyongo vyao..!! 🤣😹
 
Ankal ule uzi uko wapi? Mbona siuoni tena? 😹😹

Hawa mimi nataka wanyukane bado hawajamaliza kutoa vinyongo vyao..!! 🤣😹
😅😅😅😅 umepigwa Kofuli kubwaaa
 
Back
Top Bottom