Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,595
- 95,258
Hivi kwani waliendelea nilivyotoka? 😹😹😹Ulikuja kuchochea moto 😀, ukiwa mbea usilale
Waje tena watoe vinyongo vyote viishe
Hivi kwani waliendelea nilivyotoka? 😹😹😹Ulikuja kuchochea moto 😀, ukiwa mbea usilale
Siku hizi nachoka sana kuuza vijora, kweli natakiwa ku retire umbea..!! 😹😹😹Ulikuja kuchochea moto 😀, ukiwa mbea usilale
Acha kabisa mimi nilipitiwa usingizi 😀, nakuja kuamka sa 8 hivi nakuta mbea umeshafanya yako 😂😂Siku hizi nachoka sana kuuza vijora, kweli natakiwa ku retire umbea..!! 😹😹😹
😹😹😹😹 Hao lazima niwarudishe ili nitangaze mshindi..!!Acha kabisa mimi nilipitiwa usingizi 😀, nakuja kuamka sa 8 hivi nakuta mbea umeshafanya yako 😂😂
Sasa nataka nilog out kheee!! Zikashushwa Essay hizo nikaendelea kukesha 😅😀🙌
Hawa wanavyogombana ndo wanatoa sumu km hujui..!! 😹😹😹Acha kuchochea moto
Hebu niendelee kuwa mpenzi msomaji 😅😹😹😹😹 Hao lazima niwarudishe ili nitangaze mshindi..!!
Ila huyo bwana ana kitru sio bure kajua kuwagombanisha hiyo milupo yake..!! 🤣
😀😅 sasa inatoka sumu ya CobraHawa wanavyogombana ndo wanatoa sumu km hujui..!! 😹😹😹
kuna mtu mkubwa kabisa na mwenye cheo humu ndani alinisnitch. Amesababisha niwe na paranoia kila mahali ninapokwenda, btw MUNGU amsamehe!Umbea kwa usiyemjua vema..!
Ma snitch!
Hiyo hiyo kmmae wambea tuna miavuli tutajificha tu..!! Wao waziteme 😹😹😹😀😅 sasa inatoka sumu ya Cobra
Mambo ni mengi muda mchache 😀😅Hiyo hiyo kmmae wambea tuna miavuli tutajificha tu..!! Wao waziteme 😹😹😹
Mtu mzima ukivuliwa nguo, busara ni kuchutama 😎😏Nilivyoandika ile warning ulielewa kweli? 🤣🤣 Ni sababu ya kuita jina na(name calling) na sio wrong target. I have never miss my shot guy guyyyy.
Wewe kelele zote za nini na inaonyesha bwana hakutaki lakini mahi 😹😹😹Nilivyoandika ile warning ulielewa kweli? 🤣🤣 Ni sababu ya kuita jina na(name calling) na sio wrong target. I have never miss my shot guy guyyyy.
😹😹😹 Wewe team DepalMtu mzima ukivuliwa nguo, busara ni kuchutama 😎😏
We nae ulikua wapi mda wote hivyo vijora unauza mpka weekend 😅😅Hivi wambea wenzangu kweli nyie wa kukosa kunishtua hata kwa simu nije nishuhudie wake wenza wakichambana?? 😹😹😹
Fake P na ShesRise_1 Niwafungulie uzi?
Mimi haya mambo vitu zangu napentraa kweli mahi zangu..!!
Kama mpo online njooni bana tulianzishe shengesha upya..!! 🤣😹😹